Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Wakuu hakuna battle hapa naona tunaionea Mwanza Bure, haiwezekani inazidiwa na Arusha Kwa Kila kitu 😁😁😁

Ona hapa Sasa kwenye umeme ni aibu,Size ya Mwanza ni Mbeya wote wako bottom 5 πŸ˜‚πŸ˜‚

View: https://twitter.com/TheChanzo/status/1705188838203658494?t=s05hZQxeyzgwLXyPxkZS1A&s=19

Hayo matumiz makubwa ya umeme yatatoka wapi wakati Mwanza unapata umeme kwa masaa hivyo viwanda vya mwanza vitatumia umeme gani kila siku umeme hamna toka mwaka 2021.
 
Hayo matumiz makubwa ya umeme yatatoka wapi wakati Mwanza unapata umeme kwa masaa hivyo viwanda vya mwanza vitatumia umeme gani kila siku umeme hamna toka mwaka 2021.
Wapi ambako umeme uko full hauko Kwa masaa? Acha visingizio wewe.

Hivi Bado GGM hajaunganishwa na grid ya Taifa? Mbona kama Geita Hakuna kitu?
 
Subirieni kitu matata

View: https://www.instagram.com/p/CxmmCM0MVI0/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
20230923_162037.jpg
 
Kwann nihangaike na Takwimu uchwara ambazo zinafanywa kufrahisha kikundi flani cha watu, umewah fika UDOM? Pale wanafunz wengi ni Wasukuma, nenda CBE
Sizitaki mbichi hizi when they are against your favor 🀣🀣🀣🀣
 
Wasomi wengi UDOM ni wasukuma, CBE wengi Lake Zone sina uhakika kwa UDSM na Vyuo Vingine
Inabadilisha nini kwenye takwimu ikiwa wanaoongoza Kwa uzazi mkubwa ni hao hao Wasukuma? Ndio maana hata shule mnaacha wengi
 
Back
Top Bottom