ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Balaa Juu ya balaaWanaitaji viboko hawana tofauti na wakazi wa dar wanaishi baharini kutwa nzima kulaumu serikali, serikali inaingia gharama mara madaraja kwa wakazi wajinga wajinga.
Ilishawahi kuchota gari la watu na jingine kufukiwa na matope ila Wana Geneva of Africa wako mbele ya uhalisia wa miundo mbinu Yao ya bara bara zao.
Hadi msemeIlishawahi kuchota gari la watu na jingine kufukiwa na matope ila Wana Geneva of Africa wako mbele ya uhalisia wa miundo mbinu Yao ya bara bara zao.
Wivu tuπππππKwa hiyo hii Nchi Kila kitu ni Mwanza tuu?
View: https://www.instagram.com/p/Czq_Fm3te_5/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
Hata mimi pale new york manhattan pale nina chumba cha kudumu nimekiandika Mwanza city lakini wala sina kelele wala matangazo kama hao washamba wa ngaramtoni.
Cha ajabu Nini hapo sunk?
Mwamba hawezi kukuelewa kabisa.Hata mimi pale new york manhattan pale nina chumba cha kudumu nimekiandika Mwanza city lakini wala sina kelele wala matangazo kama hao washamba wa ngaramtoni.
Acha kutania na watu wa chuga, kuwapostia mapori na vijumba vya tembeπ huko hata kiwanja cha bure siwezi kuchukua.
Sijawahi ona kampuni za real estate Mwanza,si ajabu limji lote ni liuswazi π€£πAcha kutania na watu wa chuga, kuwapostia mapori na vijumba vya tembeπ huko hata kiwanja cha bure siwezi kuchukua.
Acha kuchekesha vipofu na viziwi, Mwanza haina maneno mengi na matangazo mengi kama ya vifo, check real estate hizi...Sijawahi ona kampuni za real estate Mwanza,si ajabu limji lote ni liuswazi π€£π
Hunaga picha zingine tofauti na hizi? ππ
Hizo ni tofauti sema maeneo ya mwanza yanafanana sana, acha kulia lia.Hunaga picha zingine tofauti na hizi? ππ