ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Serikali yenu haijengi Sewage system na wakat wanaijua geography ya Mwanza what do you expect?. Kama kipindupindu kimetokea ni wakati wa serikali yako kujengwa sewage systemHapana HQ ni hi hapa
View: https://www.instagram.com/p/C15J5QRN3UP/?igsh=MWkxcjk5ejRoZ3F3ZQ==π€ͺπ€ͺππππππππ mavi
Harafu unakutana na mtu anasema anapenda kuishi Mwanza ππSerikali yenu haijengi Sewage system na wakat wanaijua geography ya Mwanza what do you expect?. Kama kipindupindu kimetokea ni wakati wa serikali yako kujengwa sewage system
Mwanza tenda zifutazo zimeshatangazwa 1.ujenzi wa soko la samaki mkuyuni 2.ujenzi wa soko kirumba pamoja na barabara unganishi 3.ujenzi wa kingo za mto mirongo (hapa itakua kama ulaya) 4.barabara ya Buhongwa igoma, 5.ujenzi wa malagana recreational park, hii miradi yote niya MCC bado Ilemela nao wana miradi yao ya TacticsMwanza Sasa ππππView attachment 2877286
Tenda ya soko la kirumba imetangazwa lini?Mwanza tenda zifutazo zimeshatangazwa 1.ujenzi wa soko la samaki mkuyuni 2.ujenzi wa soko kirumba pamoja na barabara unganishi 3.ujenzi wa kingo za mto mirongo (hapa itakua kama ulaya) 4.barabara ya Buhongwa igoma, 5.ujenzi wa malagana recreational park, hii miradi yote niya MCC bado Ilemela nao wana miradi yao ya Tactics
Tenda ya soko la kirumba imetangazwa lini?
Hiyo miradi ya Barabara ipo Kila Jiji na ujenzi unaendelea
Au unataka na Tenda ya Mto mirongo na malagana recreational city park?
Huko Kasi zimeanza,ilikuwepo phase one pamoja na Barabara.Mimi Mkoa niliko ujenzi unaendeleaAu unataka na Tenda ya Mto mirongo na malagana recreational city park?