Ipo siti ya mbele au mbele ya wapi toa ufafanuzi.Uchumi mkubwa kwa maana yq GDP bila shaka ??
Ila kwenye development Arusha iko mbele zaidi.
Asante kwa Taarifa mkuu japo GDP huwa ni volume tu ya goods and services produces. Gdp hai reflects uhalisia wa maisha ya mtu mmoja mmoja tofauti na per capita. Mfano Tz ina GdP kubwa kuliko boswana, Namibia, Swaziland kwa pamoja ila kwa per capital tumeachwa mbaliππππ¨
Kwa taarifa Yako tuu ni kwamba mwaka 2023 ,Mbeya inaenda kuipita Mwanza Kwa GDP.
2021
Mwanza GDP 11.1T
Mbeya GDP 8.7
2022
Mwanza GDP 12.2
Mbeya GDP 9.5
Growth rate
Mwanza 0.1T
Mbeya 0.8
If the same changes prevail this year 2023 basi mnaenda kufanya πππ na Mbeya πππππππ
View attachment 2908799
Mwanza imelemaaa ππππ
Kwa unadhani Mimi naweza kuongea kitu Kwa kutunga?Leta takwimu na chanzo cha takwimu acha ujinga, hubishani na mtoto wa chekechea hapa
Kila kitu kasoro samaki. Labda wewe unaebisha utuambie Mwanza imeizidi nini ArushaAcha kuropoka ovyo, hiyo arusha imeizidi nini Mwanza?
Asanteee
Mwanza wakubali tuu kwamba size Yao ni Mbeya ,Arusha iko mbele zaidi Yao ππKila kitu kasoro samaki. Labda wewe unaebisha utuambie Mwanza imeizidi nini Arusha
Asanteee
Hizi hapa data za per Capita Kwa Tanzania,Vinara niAsante kwa Taarifa mkuu japo GDP huwa ni volume tu ya goods and services produces. Gdp hai reflects uhalisia wa maisha ya mtu mmoja mmoja tofauti na per capita. Mfano Tz ina GdP kubwa kuliko boswana, Namibia, Swaziland kwa pamoja ila kwa per capital tumeachwa mbali
Akili zako zipo matakoni badala uangalie transactions, cash deposit/ withdrawal wewe unaangalia namba za agents, yaani unasifu idadi kubwa ya wakala badala ya kuangalia miamalaπππKwa unadhani Mimi naweza kuongea kitu Kwa kutunga?
Actually Arusha imezidi Mwanza parefu sana ππππView attachment 2908894
Hizi hapa data za per Capita Kwa Tanzania,Vinara ni
Dar
Iringa
Kilimanjaro
Mbeya
Njombe
Ruvuma
My Take
Hakuna Cha Arusha Wala ππMwanza
View attachment 2909202
Hata hiyo miamala Arusha is ahead of MwanzaAkili zako zipo matakoni badala uangalie transactions, cash deposit/ withdrawal wewe unaangalia namba za agents, yaani unasifu idadi kubwa ya wakala badala ya kuangalia miamalaπππ
Nakubaliana na wewe kabisa bahati nzuri mikoa mingi hapa nimeishi au kufanya kazi. Huu utatifi una reflect ukweli kabisaHizi hapa data za per Capita Kwa Tanzania,Vinara ni
Dar
Iringa
Kilimanjaro
Mbeya
Njombe
Ruvuma
My Take
Hakuna Cha Arusha Wala ππMwanza
View attachment 2909202
Morogoro wakiacha uvivu watatoka hapa ni aibu Morogoro kuzidiwa na Manyara
π hahahaha ngoja kitombwile aje na matusi yake jamaa wamewekeza sana kwenye urozi na uganga kuliko maendeleoMwanza wakubali tuu kwamba size Yao ni Mbeya ,Arusha iko mbele zaidi Yao ππ
View: https://twitter.com/MashonJR/status/1759485810779328748?t=U2ZGcBUWmhtzk2Xy_xG23Q&s=19
Umechanganyikiwa ndio maana anatukana hovyo,Dalili za ugonjwa wa akili wa kukata tamaa Kwa sababu ya maumivu anayopata π€ͺπ€ͺπ hahahaha ngoja kitombwile aje na matusi yake jamaa wamewekeza sana kwenye urozi na uganga kuliko maendeleo
Pia mwanza imeizidi arushaFact is Mwanza imeizidi Arusha kwa vitu vingi, hata population ya Mwanza ni kubwa kuliko ya Arusha.
Mwanza ina nyumba za ghorofa elfu24000 na Arusha inazo 7000na ushee vipi hapo??Mwanza ipo juu ya Arusha almost kwa kila kitu except ile hali ya ubaridi
Hahahah fafanua mkuuwanaosema Arusha kali kuizidi mwanza wanafurahisha tu midomo yao...ila ukweli wanaujua....Mwanza ni kali sana ...Arusha ikasome kwanza ndio ije kushindanishwa na jiji la mapichapicha
Ukienda arusha hizo ghorofa huwa zimefichwa wap make hatuziioniMwanza ina nyumba za ghorofa elfu24000 na Arusha inazo 7000na ushee vipi hapo??
Ok kana unataka ufafanuzi uko hivi sensa ni mkoa mzima. Sio mijini tuUkienda arusha hizo ghorofa huwa zimefichwa wap make hatuziioni