Hizo picha nimeweka lin humu ziangalie vizuri nakuja tena.Kila siku tupicha huyo huyo,hakunaga Majengo mapya huko Mwanza? ππ
Uhakika wa Viwanda ni Arusha ππHizo picha nimeweka lin humu ziangalie vizuri nakuja tena.
Maskini Mwanza ndio itapotezwa mazima na Arusha baada ya miradi hii ya Afcon.
-Kiwanja
-Barabara
View: https://www.instagram.com/p/C4sL4OuNACf/?igsh=MW1lZnFlYzI0MXB3eQ==View attachment 2938919View attachment 2938920View attachment 2938921
View: https://youtu.be/q05ytnyfpa0?si=jLrsYa4X_7tKcjKO
Hii kitu wafanye namna na miji kama ya Mwanza, Mbeya, Dodoma pamoja na Tabora kuwakilisha mikoa ya kanda zao.Maskini Mwanza ndio itapotezwa mazima na Arusha baada ya miradi hii ya Afcon.
-Kiwanja
-Barabara
View: https://www.instagram.com/p/C4sL4OuNACf/?igsh=MW1lZnFlYzI0MXB3eQ==View attachment 2938919View attachment 2938920View attachment 2938921
View: https://youtu.be/q05ytnyfpa0?si=jLrsYa4X_7tKcjKO
cc Kitombile ππππππHili nalo litapita Mwanza ukikuta project ya maana jua kabisa ni private sector na wapambanaji, Wenzetu hongereni naona mnaletewa fursa mlangoni mshindwe nyie tu na wakisema kinachofuata ni utekelezaji sasa fanya kinyume chake kwa huku kwetu, na nafikiri ingekua inawezekana kulihamisha lile ziwa na yale madini basi awamu hii wangekwisha yaamisha ila yote kheri kikubwa pumzi!
Hii hawamu ni balaa asee tukaze kende hakuna namna nayo yatapita.Hili nalo litapita Mwanza ukikuta project ya maana jua kabisa ni private sector na wapambanaji, Wenzetu hongereni naona mnaletewa fursa mlangoni mshindwe nyie tu na wakisema kinachofuata ni utekelezaji sasa fanya kinyume chake kwa huku kwetu, na nafikiri ingekua inawezekana kulihamisha lile ziwa na yale madini basi awamu hii wangekwisha yaamisha ila yote kheri kikubwa pumzi!
Usiihueishe Mbeya kwenye umaskini na njaa zenu πππππUnacheka wakati Mwanza na Mbeya ni kama watoto wa baba mmoja hatuthaminiki.
Malalamiko fc πππππHii hawamu ni balaa asee tukaze kende hakuna namna nayo yatapita.
Kumbe ni jengo la TBA alafu utawaskia et mwanza inajijenga yenyeweππ kwa mbele yake kuna mall waliyojengewa na halmashauri jengo lao refu la psssf ukiwaskia wanakuambia mwanza inajijenga yenyewe bogus hawa watu aka malalqmiko fcππ