Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Subiria hizo gorofa zifike floor saba na zaidi nikuletee hapa uanze kutoa macho!
Kwa hiyo hicho project yako ina kitu gani cha tofauti!
Arusha Kuna Kasi kubwa ya ujenzi wa magorofa kushinda Mwanza,sio tuu magorofa Bali magorofa marefu.
 
Jiji fake halina hata uwanja wenye hadhi πŸ˜‚πŸ˜‚

Chuga πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/DAJOeJgtqZt/?igsh=OW5udGVkamp3cWVx
Nimekaa hapa nikikuzoom huku nakucheka tuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, Mwanza inapaa ndugu sina maneno mengi siku hizi naona sio fair kuipambanisha Mwanza na miji calibre ya arusha, kwasasa tunataka battle na miji kama Kampalana Mombasa tukitoka hapo tucheze mechi ya kirafiki na wakina Dar na Kigali.
 
Mwambie huyo jamaa mwanza ni Jiji aisee kabla sijatoka mwanza nilipita siku Moja Barabara ya airport mida ya jioni eneo la Ghana karibu na junction ya bwiru aiseeeee mwanza sio level za Arusha au Dodoma πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Mwanza inapaa sawa ila kulinganisha na nani Sasa 😁😁😁😁

Inapaa kuzidi Arusha? πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://x.com/ChineseEmbTZ/status/1836664818566091109?t=4e2p2GwGUqC9m-oovKvubw&s=19
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…