Hapa naona visual effect tu sioni kitu, ukimaliza ongeza na picha za Dodoma, Iringa adi huko kwenu Sumbuwanga.Unaokoteza Mitaa mizuri mizuri ndio unaleta ๐๐
Hata Mbeya ipo kama unachoona hapa ๐๐View attachment 3102173
Huo ni mtazamo wangu.. Uzuri kwangu siyo ukubwa wa jiji no, hata hali ya hewa kwangu ni moja ya kigezo..Endeleeni kukaririshwa na machalii.
Huu ndo mtaa mzuri hahaha mbona haufiki hata kwa nsumba ppf tuUnaokoteza Mitaa mizuri mizuri ndio unaleta ๐๐
Hata Mbeya ipo kama unachoona hapa ๐๐View attachment 3102173
Naheshimu maamuzi yako mkuu๐Huo ni mtazamo wangu.. Uzuri kwangu siyo ukubwa wa jiji no, hata hali ya hewa kwangu ni moja ya kigezo..
Nikiambiwa nichague kuishi kati ya Dar na Arusha ntachagua Arusha, kati ya Mwanza na Arusha ntachagua Arusha..si kwasababu Arusha Ina skyscrapers nyingi,la hasha.. Hali ya hewa ni nzuri zaidi Arusha kuliko hayo majiji mengine.
Upo sahihi..tangu nifike Mwanza sijaona utofauti na Dar kimishemishe...Kwakweli Arusha labda uichanganye na Moshi ndiyo iifikie Mwanza..huo ni ukweli kwa mzani wangu wa ukweli ๐๐๐๐..Naheshimu maamuzi yako mkuu๐
Lakini kama unataka kutajirika njoo Mwanza๐๐๐
Hakika na msema kweli ni mpenzi wa Mungu, ubarikiwe jemedari.Upo sahihi..tangu nifike Mwanza sijaona utofauti na Dar kimishemishe...Kwakweli Arusha labda uichanganye na Moshi ndiyo iifikie Mwanza..huo ni ukweli kwa mzani wangu wa ukweli ๐๐๐๐..
Arusha kama hujaajiriwa/ Kujiajiri kwenye sekta ya utalii utasubiri sana,kitu ambacho kwa Mwanza SI hivyo...
Nakusihi tena msamehe hajui alitendalo mkuu wanguTujikumbushe haka ka dude
View attachment 3102168
Asante Dr musukuma kashekuNani hajapata jibu?
Mwanza sio ya kuilinganisha na vimji vya ajabu ajabu kama Arusha.
Mwanza inakimbizana na Dar kwenye kila kitu, miundombinu, mapato, wingi wa watu, uchangamfu, starehe, watoto wazuri, vyuo, nk. Muwe mnasoma hata takwimu/taarifa za serikali zinatolewa kila mara kuonyesha Mwanza is untouchable.
Arusha ilinganisheni na Kahama ama Musoma sio Mwanza ni kuivunjia heshima Mwanza.
Mwanza ๐ ๐ ๐Hapa naona visual effect tu sioni kitu, ukimaliza ongeza na picha za Dodoma, Iringa adi huko kwenu Sumbuwanga.
Mwanza on ๐ฅ ๐ฅ ๐ฅ ๐ฅ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐Unaokoteza Mitaa mizuri mizuri ndio unaleta ๐๐
Hata Mbeya ipo kama unachoona hapa ๐๐View attachment 3102173
Rudi shule jifunze ku post unatuumiza machoMwanza on ๐ฅ ๐ฅ ๐ฅ ๐ฅ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ View attachment 3106172View attachment 3106173
Lini arusha itafika level kama hizi za ujenzi hasa private sector, Mwanza๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ
Hapa ndio Kuna nini Cha maana? ๐ฎ๐ฎ๐ฎLini arusha itafika level kama hizi za ujenzi hasa private sector, Mwanza๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ
Japo ni mbovu lakini ujumbe wenu huu๐๐๐
View attachment 3109427
Kaka Mbeya wala si ya kulinganisha na Mwanza hata ndoto ya kufikia Mwanza ilipo kwenu bado miaka mingi sana wakati huo Mwanza itakuwa kama Dar ya sasa!Hapa ndio Kuna nini Cha maana? ๐ฎ๐ฎ๐ฎ
Mwanza ikashindane na Mbeya sio Arusha
Mbeya hakuna mradi wa majengo ya serikali ni wapambanaji tupu ๐๐Kaka Mbeya wala si ya kulinganisha na Mwanza hata ndoto ya kufikia Mwanza ilipo kwenu bado miaka mingi sana wakati huo Mwanza itakuwa kama Dar ya sasa!