ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Bado hamjasema Hadi mseme 👇👇Mbona kama anatuchamba😂😂😂😂 kumbe ukubwa wa mji unapimwa kwa maonesho ya land rovers.
View: https://youtu.be/EqjRWf-_-P4?si=8RyRDn8bTRQMGaNQ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado hamjasema Hadi mseme 👇👇Mbona kama anatuchamba😂😂😂😂 kumbe ukubwa wa mji unapimwa kwa maonesho ya land rovers.
Hii ni photo ya Mwanza yenye nimecheki iko fitiRock city 💥💥💥
View attachment 2526946
In most cases Mwanza inafanania hivi 👇👇Hii ni photo ya Mwanza yenye nimecheki iko fiti
View attachment 3126830View attachment 3126832
Mkataba wa ujenzi wa soko la kisasa kirumba wasainiwa . ujenzi huu utahusisha pia ujenzi wa km 3 za lami
Samia ameipendelea Mwanza kuliko Shujaa wenu,huu ni ukweli mchungu 😂😂👇👇View attachment 3126822View attachment 3126829mkataba wa ujenzi wa soko la kisasa la samaki mkuyuni.umesainiwaView attachment 3126823
Bado hujasema 👇Samia ameipendelea Mwanza kuliko Shujaa wenu,huu ni ukweli mchungu 😂😂
🚮🚮🚮Bado hujasema 👇View attachment 3126874
Size Mbeya Tunajiweza sisi hatuishi kwenye mabanda ya mafukara kama nyie.Bebweni na nyinyi
Size Mbeya Tunajiweza sisi hatuishi kwenye mabanda ya mafukara kama nyie.
Pili Soko la zamani la kirumba linavunjwa au wanahamisha site?
Hiyo Barabara inajengwa wapi?
Toa maelezo basi ,mapicha picha ni option ya mwisho kama maelezo hayajaelewekaView attachment 3126972
Soko limeshabomolewa
Kwamba sio lile soko la Samaki pale mwaloni? Ni jingine au?View attachment 3126972
Soko limeshabomolewa
Soko lishabomolewa . lilikuwa soko la bidhaa la zamani lijulikanalo kama kirumba kati ...lipo jirani na furahisha ndio wanajenga lingine pamoja na barabara za mitaa 10 zinazoelekea kwenye Hilo soko kama inavyonekana kwenye picha hapaToa maelezo basi ,mapicha picha ni option ya mwisho kama maelezo hayajaeleweka
Sio Hilo .ni jingine ..soko la mwaloni lenyewe lipo kwenye mradi wa green cityKwamba sio lile soko la Samaki pale mwaloni? Ni jingine au?
Hivi hili Soko la Mkuyuni linajengwa Mkuyuni sehemu gani ni pale Mwalo wa Mswahili au pale Mkuyuni Sokoni?View attachment 3126830View attachment 3126832
Mkataba wa ujenzi wa soko la kisasa kirumba wasainiwa . ujenzi huu utahusisha pia ujenzi wa km 3 za lami
Wanajenga nyuma ya jengo la crdbHivi hili Soko la Mkuyuni linajengwa Mkuyuni sehemu gani ni pale Mwalo wa Mswahili au pale Mkuyuni Sokoni?
Mwanza huijui vizuri nyamaza wewe unaleta picha za kuunga unga mwanza hamuiwezi kashindaneni na Mbeya au DodomaIn most cases Mwanza inafanania hivi 👇👇View attachment 3126543View attachment 3126544View attachment 3126545View attachment 3126546
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😁😁😁😁
Arusha to International ,Mwanza endeleeni kuhangaika na masoko ya Samaki na shombo zake 😁😁👇👇Mwanza huijui vizuri nyamaza wewe unaleta picha za kuunga unga mwanza hamuiwezi kashindaneni na Mbeya au Dodoma