ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umegusa kila kitu,nakupa pongezi kamanda,japo ile jamaa ya makete haitakuelewa.Hauna unachojua zaidi ya chuki za kishamba 🤣🤣🤣🤣Mwanza haihitaji uiseme vizuri wewe ndo iendelee mwanza Kuna mradi wa green and smart city unaofadhiliwa na umoja wa ulaya ambao umeanza kutekelezwa na kwa Sasa wanaanza kushughulika na mto milongo na mingine miradi kibao 🤣🤣🤣🤣NHC wanaenda kubadili eneo la CBD kupitia mwanza master plan 2015-2035. huu mradi upo moto sana haters kama wewe inabidi muugulie kimoyomoyo 🤣🤣🤣🤣Tayari Samia housing imebisha hodi daraja la kigongo busisi nyumba zaidi Ya 1000 zinaenda kujengwa kwa mara Moja ,,,Kuna mradi wa green and smart city ulioanza kutekelezwa eneo nyamhongolo uwiiiiiiiiiiiiiiiiiii🤣🤣🤣🤣hapa Sasa uhame nchi kabisa maana maumivu utakayoyapata si ya kitoto. Kuna mradi wa viwanja vilivyopimwa kisasa sana wenye nyumba za makazi na mataasisi ya kimataifa kama vyuo,shopping malls n.k mradi huu upo eneo la kayenze na takribani vijiji au mitaa kumi na zaidi imeshaanza kuachia viwanja ili vipimwe kisasa ,,Kuna daraja la kigongo busisi ,,,Kuna mradi wa sgr Mbeya na Arusha watabaki kuusikia kwenye taarifa za habari🤣🤣🤣🤣🤣Tuna stendi kubwa mbili za kisasa za Nyegezi na nyamhongolo Kuna masoko ya kisasa yanayoendelea kujengwa na mengine mikataba imeshasainiwa mfano soko la kirumba na mkuyuni tuna meli kubwa kupita zote katika nchi zote za maziwa makuu Kuna mwingiliano mkubwa wa watu kuliko jiji lolote Tanzania isipokuwa Dar tu idadi kubwa ya watu huja na fursa za kiuchumi na kijamii kwa sababu watu wengi ni uchumi kama unabisha kwa Hilo waulize wachina maana kwa tafsiri nyepesi watu ni soko,😃😃😃🤣🤣🤣Mwanza Kuna ujenzi wa bandari za mwanza south na Mwanza kaskazin zote zinajengwa kwa mabilioni ya pesa ,,,,Tena ni kuikosea heshima mwanza kuilinganisha na vijiji kama Mbeya🤣🤣🤣🤣😃Mbeya inazidiwa na Iringa maana ukiniuliza nichague wapi kati ya Mbeya na Iringa nitachagua Iringa Mbeya hakuna kitu kwa hiyo hiyo Arusha ni ndogo kwa mwanza Tena karibia mara mbili mwanza imesambaa sana na ina eneo kubwa lililofikiwa na mji sio hapo Arusha ndani ya dakika 5 umeshaumaliza mji ,,pia mwanza ina nyumba za makazi ya watu mazuri kuliko miji yote isipokuwa Dar tu hata Dar inaanza kukaribiwa maana mfumo wa nyumba za mwanza unaanza kufanana na wa Dar katika baadhi ya maeneo ya kishua Dar.na serikali ikiendelea na speed hii duuuuh mwanza itakuwa moto wa kuotea mbali sema support ya serikali sio kubwa kama majiji mengine lakini inawakalisha chini wote hiyo ndo mwanza the rocky city🤣🤣🤣🤣🤣Arusha na Mbeya zinatia huruma maskini 🤣🤣🤣
Mwanza Regional Hospital Project for OPD!.Umegusa kila kitu,nakupa pongezi kamanda,japo ile jamaa ya makete haitakuelewa.
Wapi popoma ChoiceVariableMwanza Regional Hospital Project for OPD!.
Mwanza haipoi hata kidogo na ni jengo zuri sana kwa mbali inafana na Mloganzila nikiita Mtoto wa Mloganzila sio mbaya!View attachment 3165244
Punguza mihemko na masimulizi ya kwenye makaratasi,weka picha tuone 😆😆😆😆Hauna unachojua zaidi ya chuki za kishamba 🤣🤣🤣🤣Mwanza haihitaji uiseme vizuri wewe ndo iendelee mwanza Kuna mradi wa green and smart city unaofadhiliwa na umoja wa ulaya ambao umeanza kutekelezwa na kwa Sasa wanaanza kushughulika na mto milongo na mingine miradi kibao 🤣🤣🤣🤣NHC wanaenda kubadili eneo la CBD kupitia mwanza master plan 2015-2035. huu mradi upo moto sana haters kama wewe inabidi muugulie kimoyomoyo 🤣🤣🤣🤣Tayari Samia housing imebisha hodi daraja la kigongo busisi nyumba zaidi Ya 1000 zinaenda kujengwa kwa mara Moja ,,,Kuna mradi wa green and smart city ulioanza kutekelezwa eneo nyamhongolo uwiiiiiiiiiiiiiiiiiii🤣🤣🤣🤣hapa Sasa uhame nchi kabisa maana maumivu utakayoyapata si ya kitoto. Kuna mradi wa viwanja vilivyopimwa kisasa sana wenye nyumba za makazi na mataasisi ya kimataifa kama vyuo,shopping malls n.k mradi huu upo eneo la kayenze na takribani vijiji au mitaa kumi na zaidi imeshaanza kuachia viwanja ili vipimwe kisasa ,,Kuna daraja la kigongo busisi ,,,Kuna mradi wa sgr Mbeya na Arusha watabaki kuusikia kwenye taarifa za habari🤣🤣🤣🤣🤣Tuna stendi kubwa mbili za kisasa za Nyegezi na nyamhongolo Kuna masoko ya kisasa yanayoendelea kujengwa na mengine mikataba imeshasainiwa mfano soko la kirumba na mkuyuni tuna meli kubwa kupita zote katika nchi zote za maziwa makuu Kuna mwingiliano mkubwa wa watu kuliko jiji lolote Tanzania isipokuwa Dar tu idadi kubwa ya watu huja na fursa za kiuchumi na kijamii kwa sababu watu wengi ni uchumi kama unabisha kwa Hilo waulize wachina maana kwa tafsiri nyepesi watu ni soko,😃😃😃🤣🤣🤣Mwanza Kuna ujenzi wa bandari za mwanza south na Mwanza kaskazin zote zinajengwa kwa mabilioni ya pesa ,,,,Tena ni kuikosea heshima mwanza kuilinganisha na vijiji kama Mbeya🤣🤣🤣🤣😃Mbeya inazidiwa na Iringa maana ukiniuliza nichague wapi kati ya Mbeya na Iringa nitachagua Iringa Mbeya hakuna kitu kwa hiyo hiyo Arusha ni ndogo kwa mwanza Tena karibia mara mbili mwanza imesambaa sana na ina eneo kubwa lililofikiwa na mji sio hapo Arusha ndani ya dakika 5 umeshaumaliza mji ,,pia mwanza ina nyumba za makazi ya watu mazuri kuliko miji yote isipokuwa Dar tu hata Dar inaanza kukaribiwa maana mfumo wa nyumba za mwanza unaanza kufanana na wa Dar katika baadhi ya maeneo ya kishua Dar.na serikali ikiendelea na speed hii duuuuh mwanza itakuwa moto wa kuotea mbali sema support ya serikali sio kubwa kama majiji mengine lakini inawakalisha chini wote hiyo ndo mwanza the rocky city🤣🤣🤣🤣🤣Arusha na Mbeya zinatia huruma maskini 🤣🤣🤣
Mwanza Regional Hospital Project for OPD!.
Mwanza haipoi hata kidogo na ni jengo zuri sana kwa mbali inafana na Mloganzila nikiita Mtoto wa Mloganzila sio mbaya!View attachment 3165244
Kwa watu wa Mwanza hapo mnaona munepata kitu Cha maana wenyewe 😁😁Wapi popoma ChoiceVariable
Hii ni hostel au madarasa ya chuo wala sio hospital yenye hadhi!Kwa watu wa Mwanza hapo mnaona munepata kitu Cha maana wenyewe 😁😁
Mnasahau Mikoa Jiant yenu kama Arusha,Dom na Mbeya hivyo ni vitu vidogo sana na vinajengwa na private sector.
Government inaweka structures za maana eg Mbeya 👇👇
View attachment 3165491View attachment 3165492
Unaijua au unaisikia? 👇👇Hii ni hostel au madarasa ya chuo wala sio hospital yenye hadhi!
Angalia OPD Mwanza Regional Hospital unaionaje ukilinganisha na godauni lenu hilo?View attachment 3165503
Hivi ni Kwa nini Mwanza is Big Slum City Haina muunganiko wa Kiuchumi na Kisumu au Jinja kama ilivyo Arusha na Nairobi? 👇👇
View: https://youtu.be/tzcyOB1vXWE?si=3pZdhAM73l9h87V_
🚮Ukiungana nao wewe inatosha