Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Hivi wewe unafanya kazi gani? Na Mwanza ilikukosea nini?
Maana naona kama una tatizo la afya ya akili!
Kila mada juu ya Mwanza una hasira balaa mpaka naogopa!
Mwanza itakua ishawahi kumfumua marinda maana kila sekunde haikauki kichwani mwake, Domo lake bila kupita siku hajataja Mwanza anaweza ugua huyu pimbi,
 
Poroja za miaka 15 iliyopita hamna kipya .. kuongea sawa ila utekelezaji aaah aah ...
Hyo safari city imefikia wap
Mwanza itakua ishawahi kumfumua marinda maana kila sekunde haikauki kichwani mwake, Domo lake bila kupita siku hajataja Mwanza anaweza ugua huyu pimbi,
Hivi wewe unafanya kazi gani? Na Mwanza ilikukosea nini?
Maana naona kama una tatizo la afya ya akili!
Kila mada juu ya Mwanza una hasira balaa mpaka naogopa!
🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂🤣 Arusha itaua mtu.

Afcon City in the making 👇👇

View: https://youtu.be/7CZIvVuli5Q?si=saO_ajb127ZT90ma
 
🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂🤣 Arusha itaua mtu.

Afcon City in the making 👇👇

View: https://youtu.be/7CZIvVuli5Q?si=saO_ajb127ZT90ma%5B/


View:
Sijawahi Sikia satellite City Mwanza Kwa sababu ni local fishing town 🤣🤣🤣🤣

Arusha kuna

Bondeni City
Safari City
Afcon City

Available in Vibrant City like Arusha 👇👇

View: https://youtu.be/UpuEI28d720?si=WZqSfnTzAD8I1Eso%5B/u


View:
Sijawahi Sikia satellite City Mwanza Kwa sababu ni local fishing town 🤣🤣🤣🤣

Arusha kuna

Bondeni City
Safari City
Afcon City

Available in Vibrant City like Arusha 👇👇

View: https://youtu.be/UpuEI28d720?si=WZqSfnTzAD8I1Eso

Chuki itakuua wewe mtu wa maporini Arusha sio kwenu ila unaanzisha battle usizoziweza Mwanza ni jiji Arusha bado haijawa jiji kitambo hiyo miradi eti bondeni city sijui Nini kwa mwanza ni rubish Haina jipya saaana tumeisikia hiyo miradi kitambo lakini hakuna jipya hapo 🤣🤣🤣🤣🤣
 

View:


View:

Chuki itakuua wewe mtu wa maporini Arusha sio kwenu ila unaanzisha battle usizoziweza Mwanza ni jiji Arusha bado haijawa jiji kitambo hiyo miradi eti bondeni city sijui Nini kwa mwanza ni rubish Haina jipya saaana tumeisikia hiyo miradi kitambo lakini hakuna jipya hapo 🤣🤣🤣🤣🤣

Kwani wewe Kwa akili zako za 2,000 unadhani Satellite City zinajengwa na Serikali?

Serikali inapima viwanja au private sekta inapima viwanja harafu wadau wanajenga Kwa Kufuata Mpango Mji.

Wadau wenyewe ni hao hao private sector au taasisi za Umma.

Satellite City inakuwa kama Mji mdogo ndani ya Jiji wenye Huduma zote.

Ujenzi unaenda Wacha kulia Lia kama kenge wa mapangoni kirumba 😬😬

Mwisho Jiji pekee naloweza onea wivu hapa Tanzania ni Dom,Arusha,Dar na Mbeya sio Vijijini vya wavuvi vinavyonuka shombo kama Mwanza
 
Kwani wewe Kwa akili zako za 2,000 unadhani Satellite City zinajengwa na Serikali?

Serikali inapima viwanja au private sekta inapima viwanja harafu wadau wanajenga Kwa Kufuata Mpango Mji.

Wadau wenyewe ni hao hao private sector au taasisi za Umma.

Satellite City inakuwa kama Mji mdogo ndani ya Jiji wenye Huduma zote.

Ujenzi unaenda Wacha kulia Lia kama kenge wa mapangoni kirumba 😬😬

Mwisho Jiji pekee naloweza onea wivu hapa Tanzania ni Dom,Arusha,Dar na Mbeya sio Vijijini vya wavuvi vinavyonuka shombo kama Mwanza
Hauna unachojua zaidi ya chuki za kishamba 🤣🤣🤣🤣Mwanza haihitaji uiseme vizuri wewe ndo iendelee mwanza Kuna mradi wa green and smart city unaofadhiliwa na umoja wa ulaya ambao umeanza kutekelezwa na kwa Sasa wanaanza kushughulika na mto milongo na mingine miradi kibao 🤣🤣🤣🤣NHC wanaenda kubadili eneo la CBD kupitia mwanza master plan 2015-2035. huu mradi upo moto sana haters kama wewe inabidi muugulie kimoyomoyo 🤣🤣🤣🤣Tayari Samia housing imebisha hodi daraja la kigongo busisi nyumba zaidi Ya 1000 zinaenda kujengwa kwa mara Moja ,,,Kuna mradi wa green and smart city ulioanza kutekelezwa eneo nyamhongolo uwiiiiiiiiiiiiiiiiiii🤣🤣🤣🤣hapa Sasa uhame nchi kabisa maana maumivu utakayoyapata si ya kitoto. Kuna mradi wa viwanja vilivyopimwa kisasa sana wenye nyumba za makazi na mataasisi ya kimataifa kama vyuo,shopping malls n.k mradi huu upo eneo la kayenze na takribani vijiji au mitaa kumi na zaidi imeshaanza kuachia viwanja ili vipimwe kisasa ,,Kuna daraja la kigongo busisi ,,,Kuna mradi wa sgr Mbeya na Arusha watabaki kuusikia kwenye taarifa za habari🤣🤣🤣🤣🤣Tuna stendi kubwa mbili za kisasa za Nyegezi na nyamhongolo Kuna masoko ya kisasa yanayoendelea kujengwa na mengine mikataba imeshasainiwa mfano soko la kirumba na mkuyuni tuna meli kubwa kupita zote katika nchi zote za maziwa makuu Kuna mwingiliano mkubwa wa watu kuliko jiji lolote Tanzania isipokuwa Dar tu idadi kubwa ya watu huja na fursa za kiuchumi na kijamii kwa sababu watu wengi ni uchumi kama unabisha kwa Hilo waulize wachina maana kwa tafsiri nyepesi watu ni soko,😃😃😃🤣🤣🤣Mwanza Kuna ujenzi wa bandari za mwanza south na Mwanza kaskazin zote zinajengwa kwa mabilioni ya pesa ,,,,Tena ni kuikosea heshima mwanza kuilinganisha na vijiji kama Mbeya🤣🤣🤣🤣😃Mbeya inazidiwa na Iringa maana ukiniuliza nichague wapi kati ya Mbeya na Iringa nitachagua Iringa Mbeya hakuna kitu kwa hiyo hiyo Arusha ni ndogo kwa mwanza Tena karibia mara mbili mwanza imesambaa sana na ina eneo kubwa lililofikiwa na mji sio hapo Arusha ndani ya dakika 5 umeshaumaliza mji ,,pia mwanza ina nyumba za makazi ya watu mazuri kuliko miji yote isipokuwa Dar tu hata Dar inaanza kukaribiwa maana mfumo wa nyumba za mwanza unaanza kufanana na wa Dar katika baadhi ya maeneo ya kishua Dar.na serikali ikiendelea na speed hii duuuuh mwanza itakuwa moto wa kuotea mbali sema support ya serikali sio kubwa kama majiji mengine lakini inawakalisha chini wote hiyo ndo mwanza the rocky city🤣🤣🤣🤣🤣Arusha na Mbeya zinatia huruma maskini 🤣🤣🤣
 
Hauna unachojua zaidi ya chuki za kishamba 🤣🤣🤣🤣Mwanza haihitaji uiseme vizuri wewe ndo iendelee mwanza Kuna mradi wa green and smart city unaofadhiliwa na umoja wa ulaya ambao umeanza kutekelezwa na kwa Sasa wanaanza kushughulika na mto milongo na mingine miradi kibao 🤣🤣🤣🤣NHC wanaenda kubadili eneo la CBD kupitia mwanza master plan 2015-2035. huu mradi upo moto sana haters kama wewe inabidi muugulie kimoyomoyo 🤣🤣🤣🤣Tayari Samia housing imebisha hodi daraja la kigongo busisi nyumba zaidi Ya 1000 zinaenda kujengwa kwa mara Moja ,,,Kuna mradi wa green and smart city ulioanza kutekelezwa eneo nyamhongolo uwiiiiiiiiiiiiiiiiiii🤣🤣🤣🤣hapa Sasa uhame nchi kabisa maana maumivu utakayoyapata si ya kitoto. Kuna mradi wa viwanja vilivyopimwa kisasa sana wenye nyumba za makazi na mataasisi ya kimataifa kama vyuo,shopping malls n.k mradi huu upo eneo la kayenze na takribani vijiji au mitaa kumi na zaidi imeshaanza kuachia viwanja ili vipimwe kisasa ,,Kuna daraja la kigongo busisi ,,,Kuna mradi wa sgr Mbeya na Arusha watabaki kuusikia kwenye taarifa za habari🤣🤣🤣🤣🤣Tuna stendi kubwa mbili za kisasa za Nyegezi na nyamhongolo Kuna masoko ya kisasa yanayoendelea kujengwa na mengine mikataba imeshasainiwa mfano soko la kirumba na mkuyuni tuna meli kubwa kupita zote katika nchi zote za maziwa makuu Kuna mwingiliano mkubwa wa watu kuliko jiji lolote Tanzania isipokuwa Dar tu idadi kubwa ya watu huja na fursa za kiuchumi na kijamii kwa sababu watu wengi ni uchumi kama unabisha kwa Hilo waulize wachina maana kwa tafsiri nyepesi watu ni soko,😃😃😃🤣🤣🤣Mwanza Kuna ujenzi wa bandari za mwanza south na Mwanza kaskazin zote zinajengwa kwa mabilioni ya pesa ,,,,Tena ni kuikosea heshima mwanza kuilinganisha na vijiji kama Mbeya🤣🤣🤣🤣😃Mbeya inazidiwa na Iringa maana ukiniuliza nichague wapi kati ya Mbeya na Iringa nitachagua Iringa Mbeya hakuna kitu kwa hiyo hiyo Arusha ni ndogo kwa mwanza Tena karibia mara mbili mwanza imesambaa sana na ina eneo kubwa lililofikiwa na mji sio hapo Arusha ndani ya dakika 5 umeshaumaliza mji ,,pia mwanza ina nyumba za makazi ya watu mazuri kuliko miji yote isipokuwa Dar tu hata Dar inaanza kukaribiwa maana mfumo wa nyumba za mwanza unaanza kufanana na wa Dar katika baadhi ya maeneo ya kishua Dar.na serikali ikiendelea na speed hii duuuuh mwanza itakuwa moto wa kuotea mbali sema support ya serikali sio kubwa kama majiji mengine lakini inawakalisha chini wote hiyo ndo mwanza the rocky city🤣🤣🤣🤣🤣Arusha na Mbeya zinatia huruma maskini 🤣🤣🤣
Video na comments zinaongea sitaki povu 👇👇

View: https://youtu.be/EqjRWf-_-P4?si=VPlGhhQUZ3U5Vxqo
Screenshot_20241023-082827.jpg
 
Hauna unachojua zaidi ya chuki za kishamba 🤣🤣🤣🤣Mwanza haihitaji uiseme vizuri wewe ndo iendelee mwanza Kuna mradi wa green and smart city unaofadhiliwa na umoja wa ulaya ambao umeanza kutekelezwa na kwa Sasa wanaanza kushughulika na mto milongo na mingine miradi kibao 🤣🤣🤣🤣NHC wanaenda kubadili eneo la CBD kupitia mwanza master plan 2015-2035. huu mradi upo moto sana haters kama wewe inabidi muugulie kimoyomoyo 🤣🤣🤣🤣Tayari Samia housing imebisha hodi daraja la kigongo busisi nyumba zaidi Ya 1000 zinaenda kujengwa kwa mara Moja ,,,Kuna mradi wa green and smart city ulioanza kutekelezwa eneo nyamhongolo uwiiiiiiiiiiiiiiiiiii🤣🤣🤣🤣hapa Sasa uhame nchi kabisa maana maumivu utakayoyapata si ya kitoto. Kuna mradi wa viwanja vilivyopimwa kisasa sana wenye nyumba za makazi na mataasisi ya kimataifa kama vyuo,shopping malls n.k mradi huu upo eneo la kayenze na takribani vijiji au mitaa kumi na zaidi imeshaanza kuachia viwanja ili vipimwe kisasa ,,Kuna daraja la kigongo busisi ,,,Kuna mradi wa sgr Mbeya na Arusha watabaki kuusikia kwenye taarifa za habari🤣🤣🤣🤣🤣Tuna stendi kubwa mbili za kisasa za Nyegezi na nyamhongolo Kuna masoko ya kisasa yanayoendelea kujengwa na mengine mikataba imeshasainiwa mfano soko la kirumba na mkuyuni tuna meli kubwa kupita zote katika nchi zote za maziwa makuu Kuna mwingiliano mkubwa wa watu kuliko jiji lolote Tanzania isipokuwa Dar tu idadi kubwa ya watu huja na fursa za kiuchumi na kijamii kwa sababu watu wengi ni uchumi kama unabisha kwa Hilo waulize wachina maana kwa tafsiri nyepesi watu ni soko,😃😃😃🤣🤣🤣Mwanza Kuna ujenzi wa bandari za mwanza south na Mwanza kaskazin zote zinajengwa kwa mabilioni ya pesa ,,,,Tena ni kuikosea heshima mwanza kuilinganisha na vijiji kama Mbeya🤣🤣🤣🤣😃Mbeya inazidiwa na Iringa maana ukiniuliza nichague wapi kati ya Mbeya na Iringa nitachagua Iringa Mbeya hakuna kitu kwa hiyo hiyo Arusha ni ndogo kwa mwanza Tena karibia mara mbili mwanza imesambaa sana na ina eneo kubwa lililofikiwa na mji sio hapo Arusha ndani ya dakika 5 umeshaumaliza mji ,,pia mwanza ina nyumba za makazi ya watu mazuri kuliko miji yote isipokuwa Dar tu hata Dar inaanza kukaribiwa maana mfumo wa nyumba za mwanza unaanza kufanana na wa Dar katika baadhi ya maeneo ya kishua Dar.na serikali ikiendelea na speed hii duuuuh mwanza itakuwa moto wa kuotea mbali sema support ya serikali sio kubwa kama majiji mengine lakini inawakalisha chini wote hiyo ndo mwanza the rocky city🤣🤣🤣🤣🤣Arusha na Mbeya zinatia huruma maskini 🤣🤣🤣
Safari Satellite City Arusha in the making 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DBgxSn3MUzI/?igsh=MXNyMG9mNTB5dmtubw==
 
Back
Top Bottom