ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Viwanda gani vikubwa? Viwanda vikubwa viko Shinyanga.Kwa iyo wakijenga viwanda vikubwa ndo vitabomoa vilivyopo mwanza? Mwanza hakuna kiwanda cha saruji ila kuna viwanda vikubwa tu na vinafanya vizuri kuna viwanda vingi tu vinajengwa tembea usisubili kuadithiwa huku hakuna mbeleko ya serikali na maisha yanasonga kwa kasi ya ajabu
Mwisho huwezi Kuta foreign you tubers kama huyu ya Ivory Coast akifanya Makala Mwanza is Slum.
Only in Dar,Arusha & Dom .Mwanza size yake ni Mbeya Haina Chochote Cha ku offer 👇👇
View: https://youtu.be/kqjjd0UPD6w?si=WyLpXfazK7k_BTFI