Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 6,976
- 7,726
Hii cbd mbona ina vijengo vya kuokoteza, leta vitu sisi wa mwanza tukubari, bado mpambano Mwanza 3 na arusha 1.Mwanza bado sana lol
Angalia maneno hiiView attachment 2467040
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii cbd mbona ina vijengo vya kuokoteza, leta vitu sisi wa mwanza tukubari, bado mpambano Mwanza 3 na arusha 1.Mwanza bado sana lol
Angalia maneno hiiView attachment 2467040
The Rio de Janeiro of Africa....hapa ni robo tu ya CBD .lakin wew ushamaliza CBD tayari [emoji28][emoji28][emoji28][emoji116]Mwanza bado sana lol
Angalia maneno hiiView attachment 2467040
Kwa picha hizi arusha ikashindane na njombe mji.
Part nyingine ya CBD [emoji91][emoji91][emoji91][emoji116][emoji116]
Maneno mengi wakati kwa ground uko kuna vibanda kibao au huvioni?The Rio de Janeiro of Africa....hapa ni robo tu ya CBD .lakin wew ushamaliza CBD tayari [emoji28][emoji28][emoji28][emoji116]View attachment 2467067
No excuse.. usitafute pa kutokea .we leta picha ..wanajukwaa ndo wataamua wapi pakallManeno mengi wakati kwa ground uko kuna vibanda kibao au huvioni?
Maeneo tofauti tofauti ya CBD [emoji91][emoji116][emoji116]Maneno mengi wakati kwa ground uko kuna vibanda kibao au huvioni?
Wakati unaendelea kugoogle picha take this [emoji116][emoji116]Maneno mengi wakati kwa ground uko kuna vibanda kibao au huvioni?
Twende kaziNo excuse.. usitafute pa kutokea .we leta picha ..wanajukwaa ndo wataamua wapi pakall
Huu ni mtaa uliokuwa wa kiswahili wa rufiji lakini sasa angalia palivyo ni zaidi ya cbd za miji mingi hapa Tanzania.The Rio de Janeiro of Africa....hapa ni robo tu ya CBD .lakin wew ushamaliza CBD tayari [emoji28][emoji28][emoji28][emoji116]View attachment 2467067
Hapa umecheza faulo kwa kurudia picha, mpaka sasa arusha imepokwa goli moja.... Mwanza 3 arusha 0Twende kaziView attachment 2467087
Haya mavitu kidogo yanapendeza jitaidini kuchomoa magoli, Mwanza 3 arusha 1.Watoto wa Mwanza mnakelele alafu hamna vifaa, Acha niwamalize leoView attachment 2467117View attachment 2467118View attachment 2467119
Naona umekimbilia kwenye hotels ukihisi ndio utaokoka [emoji116][emoji28][emoji28]Watoto wa Mwanza mnakelele alafu hamna vifaa, Acha niwamalize leoView attachment 2467117View attachment 2467118View attachment 2467119
Ukiangalia mwanza utagundua hivyo vighorofa uchwara ni vya juzi tena enzi za mwendazake, ndio maana wana wenge sana, hawajazoea yani. Mi naogopa Arusha wakija wenyewe hasa wale. Mwanza will be pulverised, mwanza jamani mjivunie kuzaliana tu. Mambo ya urbanisation, class, waachieni Arusha. Hakuna mtu anawawaza mwanza yani. Kaleni mapanki sasa. Mmeshindwa kupangua report ya NBS kuhusu idadi ya maghorofa, mmeshindwa kupangua list ya maghorofa marefu Tanzania, mpompo tu. Embu tafuteni ligi na Singida au iringa. By the way mji wa moshi umewazidi pia. Pua, pua.BOT mwanza...
Leta BOT Arusha tucheke[emoji28][emoji28][emoji116]View attachment 2467011View attachment 2467012
Unanichagulia silaha ya kukuulia?Naona umekimbilia kwenye hotels ukihisi ndio utaokoka [emoji116][emoji28][emoji28]
Tunza beach resort [emoji3059][emoji319]View attachment 2467136View attachment 2467137View attachment 2467138View attachment 2467139