Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Sema majitu ya mwanza ata tuliosoma nao shule yalikuwa mabishiii, mazito kuelewa, yani makompliketa mpaka kwenye maisha. Siwashangai. Arusha na Dar ndio majiji. Nyie ni watu wa bush, mji mkubwa jinga.
Mna gdp ya ngapi? Uchumi na fursa zinapimwa kwa mapato ya tra, je mara ina uchumi mkubwa sana kuliko mbeya? Kuwa na akili acha ujinga, hilo fuvu nahisi limekosa ubongo.
 
Huja

Hujaulizwa ufafanuzi. Mpo wengi kama nzi lakini, 'in steve nyerere' s voice- PUA PUA PUA'🤣 🤣 🤣
Kaangalie current kipato cha mtu mmoja moja Mwanza ni ya ngapi sasa na imetoka nafasi ya ngapi? Mlitukadiria population kubwa ili tuonekane ni maskini lakini sensa imeweka mambo sawa na bado ina reality mwanza inakuwa ya pili kwa kipato cha mtu mmoja mmoja baada ya Dar.
 
Kaangalie current kipato cha mtu mmoja moja Mwanza ni ya ngapi sasa na imetoka nafasi ya ngapi? Mlitukadiria population kubwa ili tuonekane ni maskini lakini sensa imeweka mambo sawa na bado ina reality mwanza inakuwa ya pili kwa kipato cha mtu mmoja mmoja baada ya Dar.
Mwanza siku zote Ni mkia ,haina uwezo wa kushindana na Arusha.👇

 
Kaangalie current kipato cha mtu mmoja moja Mwanza ni ya ngapi sasa na imetoka nafasi ya ngapi? Mlitukadiria population kubwa ili tuonekane ni maskini lakini sensa imeweka mambo sawa na bado ina reality mwanza inakuwa ya pili kwa kipato cha mtu mmoja mmoja baada ya Dar.
We utakuwa unashida ya afya ya akili. Yani Arusha kwa uchache wao wa watu wamewazidi almost twice unaleta maneno ya kipashkuna. Hakuna battle ya mwanza na Arusha. Arusha ipo juu sana yda uchafu wenu. Kwanza mnazidiwa na dodoma na kilimanjaro. Washamba wakuu. SI unit ya wajinga na washamba ni mwanza. mwanza ni nothing, haifahamiki duniani zaidi ya walugaluga wa kanda ya ziwa ndio wanapatumia kama gateway ya kwenda maeneo mengine. mwanza haijawahi kuanzisha jambo likatrend na wala sio influencial kwa chochote. mwanza si shamba kama shambani.
 
Kaangalie current kipato cha mtu mmoja moja Mwanza ni ya ngapi sasa na imetoka nafasi ya ngapi? Mlitukadiria population kubwa ili tuonekane ni maskini lakini sensa imeweka mambo sawa na bado ina reality mwanza inakuwa ya pili kwa kipato cha mtu mmoja mmoja baada ya Dar.
Tukaangalie wapi sasa? Mbona ata hutoi link chaushamba?
 
Kila kitu kikubwa Tanzania, either kinaanzia dar then kinaenda Arusha, au kinaanzia arusha then dar, ndio wengine wafate, mfano fast food chains kama kfc, supermarkets kama shoprite, shoppers, nk mwanza wanatia huruma sana, jiji pori.
 
Ungekuwa na akili ungeelewa maana ya gdp na gnp, sema ndio majitu ya mwanza, hovyoo, takataka. Eti gdp ya mji?! 🤣 Mavi sana
Uchumi huwa unapimwa kwa kitu gani? Mtu aambiwe aende akatafute maisha Mwanza au Ruvuma we unazan ataenda wapi? Je ataenda ruvuma kwasababu kuna kipato kizuri cha mtu mmoja mmoja kuliko Mwanza?
 
We utakuwa unashida ya afya ya akili. Yani Arusha kwa uchache wao wa watu wamewazidi almost twice unaleta maneno ya kipashkuna. Hakuna battle ya mwanza na Arusha. Arusha ipo juu sana yda uchafu wenu. Kwanza mnazidiwa na dodoma na kilimanjaro. Washamba wakuu. SI unit ya wajinga na washamba ni mwanza. mwanza ni nothing, haifahamiki duniani zaidi ya walugaluga wa kanda ya ziwa ndio wanapatumia kama gateway ya kwenda maeneo mengine. mwanza haijawahi kuanzisha jambo likatrend na wala sio influencial kwa chochote. mwanza si shamba kama shambani.
Kwa uchache gani je hayo mapato ya arusha unazani ni maskini wa arusha wanaokamuliwa au ni watalii kutoka nje, 80% ya hayo mapato ni kutoka kwa kukamuliwa watu wa nje yaani watalii.... Mara imeizid mbeya mbali sana kimapato unazan kwasababu watu wa mbeya ni maskini au hawana fursa? Jibu ni utalii wa mbuga serengeti, mna sector ya utalii kama huko Kilimanjaro kuna watalii kibao wanakuja mnashindwa kufikisha ata 1 trillion, nyie ni mazombies tu.
 
Unaugua wewe, watu wa maana kila kukicha wanaenda Arusha, mfano, Bill Clinton, haujui mwanza, Obama, Oprah winfrey, Warren buffet, Lionel Messi nk, nyie takataka wa mwanza mnabaki kuwaskia tu. Mnadhani sangara ndio kila kitu? 🙄🤣 Mmeitwa jiji Kimakosa nyau nyie.
Kama watu wazito kama hao wanakuja na bado mapato yanasuasua, unazani utalii unatendewa haki huko arusha na Kilimanjaro, kwenye hizo billion 400 toa utalii je nyinyi wananchi maskini wa arusha mnakusanya ngapi, tazama wanachi wa Mwanza wanavyokusanya mapato wao wenyewe bila watalii kuboost ata mia.
 
Kila kitu kikubwa Tanzania, either kinaanzia dar then kinaenda Arusha, au kinaanzia arusha then dar, ndio wengine wafate, mfano fast food chains kama kfc, supermarkets kama shoprite, shoppers, nk mwanza wanatia huruma sana, jiji pori.
Let mall kubwa hapo kushinda rock city mall, leta route ya mabasi au ya ndege iliyobize kushinda ya Dar- Mwanza.
 
Sema majitu ya mwanza ata tuliosoma nao shule yalikuwa mabishiii, mazito kuelewa, yani makompliketa mpaka kwenye maisha. Siwashangai. Arusha na Dar ndio majiji. Nyie ni watu wa bush, mji mkubwa jinga.
Acha ulofa bangi zilishaharibu centre of judgement. Hujakosea kujiita pwagu. Mbona hata shuleni tunawanyuka kila angle?.
 
Ungekuwa na akili ungeelewa maana ya gdp na gnp, sema ndio majitu ya mwanza, hovyoo, takataka. Eti gdp ya mji?! 🤣 Mavi sana
Acha kutumia kijambio chako kufikiria wewe, wazungu washakuharibu tayari fala kweli.
 
Back
Top Bottom