Acha kujifariji kijana...Niliwadondoshea mawe hapa mkaanza kuliaKuna vyuma vingi tu sema tukiamua kuvileta humu tutajaza saver.
π π π π π π Amakweli we boya sasa mwanza itakuwa vipi tourists destination yani kivipi kwa mfano. Hivi swali jepesi mwanza Kuna 5star Hotels na 7star Hotels ngapi? Kuna mbuga ngapi hahaha hiyo route ya kuingia Serengeti kupitia mwanza yenyewe haina mvuto. Unajua tuachane na ushabiki mavi Yani mwanza kuipiku Arusha au mkoa wowote kuipiku Arusha kitalii ni ndoto za abunuasi. Arusha ni Tourism Capital na East Africa Community capitaland Headquarters nukuu neno Tourism Capital na East Africa Community Capital(Makao makuu ya Jumuiya ya Africa Mashariki), Dar es Salaam ni business capital sasa mwanza sijui ni fishing capital au lake capital I don't fucking know. Ila Kama hujui basi jua hilo.Mr tuusan [emoji116]
Soon tutawanyan'ganya hiyo status ya tourist destination city .
[emoji116]
Rock bay resort View attachment 2482080View attachment 2482081View attachment 2482082View attachment 2482083
Mwanza inaweza isiwe Tourism Capital ila ukatae ukubali Mwanza ni Business Capital kubwa kuzidi Arusha! Angalia hata safari za local flight mwanza inazo nyingi kuzidi KIA! N a kwa taarifa yako uwanja ukishakuwa na certificate ya International mtapambana nayo sana tu! Maana ukumbuke hata kwenye international flight nyinyi ni wa tatu, ya kwanza Abeid international Airport Zanzibar ya pili ni Julius International Airport Dar! Ila mlivyo na kelele sasa!π π π π π π Amakweli we boya sasa mwanza itakuwa vipi tourists destination yani kivipi kwa mfano. Hivi swali jepesi mwanza Kuna 5star Hotels na 7star Hotels ngapi? Kuna mbuga ngapi hahaha hiyo route ya kuingia Serengeti kupitia mwanza yenyewe haina mvuto. Unajua tuachane na ushabiki mavi Yani mwanza kuipiku Arusha au mkoa wowote kuipiku Arusha kitalii ni ndoto za abunuasi. Arusha ni Tourism Capital na East Africa Community capitaland Headquarters nukuu neno Tourism Capital na East Africa Community Capital(Makao makuu ya Jumuiya ya Africa Mashariki), Dar es Salaam ni business capital sasa mwanza sijui ni fishing capital au lake capital I don't fucking know. Ila Kama hujui basi jua hilo.
Kibiashara mnatuzidi kulingana na eneo mji ulipo hilo mi nakubali,ila uzuri wa mji kwa maana ya majengo barabara madhari hamgusi ArushaMwanza inaweza isiwe Tourism Capital ila ukatae ukubali Mwanza ni Business Capital kubwa kuzidi Arusha! Angalia hata safari za local flight mwanza inazo nyingi kuzidi KIA! N a kwa taarifa yako uwanja ukishakuwa na certificate ya International mtapambana nayo sana tu! Maana ukumbuke hata kwenye international flight nyinyi ni wa tatu, ya kwanza Abeid international Airport Zanzibar ya pili ni Julius International Airport Dar! Ila mlivyo na kelele sasa!
Kujifariji ni jambo jema sana ....ila promotion na uwekezaji uliopo kwenye accomodations Kwa sasa huku city ...ndani ya miaka mitano ni habari nyingine kabisa....Idara iyo Sahau kabisa
Mnaweza kutuzidi mambo mengine ila suala hilo Futa kwenye akili Yako
Kila walati mnasogeza miaka 5 mbele mnafikiri ndio Arusha kumelala?[emoji2][emoji2][emoji2]Kujifariji ni jambo jema sana ....ila promotion na uwekezaji uliopo kwenye accomodations Kwa sasa huku city ...ndani ya miaka mitano ni habari nyingine kabisa....
By the way hamjawahi izidi Zanzibar Kwa utalii na watalii.and that's so .....hyo Gran melia isiwatie kiwewe
Lin tumesogeza miaka 5 mbele...kama hamjalala nipe project Mpya ya ujenzi wa hotel hapo arusha at least ya nyota 3..Kila walati mnasogeza miaka 5 mbele mnafikiri ndio Arusha kumelala?[emoji2][emoji2][emoji2]
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Hotel hazijengwi na serikali kijana,kua na updates ni ngumu kimtindoLin tumesogeza miaka 5 mbele...kama hamjalala nipe project Mpya ya ujenzi wa hotel hapo arusha at least ya nyota 3..
Kwan Nan kasema ,,hotel zinajengwa na serikaliHotel hazijengwi na serikali kijana,kua na updates ni ngumu kimtindo
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Eti tourism capital.mara east Africa capital...utaita majina yote [emoji116][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Amakweli we boya sasa mwanza itakuwa vipi tourists destination yani kivipi kwa mfano. Hivi swali jepesi mwanza Kuna 5star Hotels na 7star Hotels ngapi? Kuna mbuga ngapi hahaha hiyo route ya kuingia Serengeti kupitia mwanza yenyewe haina mvuto. Unajua tuachane na ushabiki mavi Yani mwanza kuipiku Arusha au mkoa wowote kuipiku Arusha kitalii ni ndoto za abunuasi. Arusha ni Tourism Capital na East Africa Community capitaland Headquarters nukuu neno Tourism Capital na East Africa Community Capital(Makao makuu ya Jumuiya ya Africa Mashariki), Dar es Salaam ni business capital sasa mwanza sijui ni fishing capital au lake capital I don't fucking know. Ila Kama hujui basi jua hilo.
Kumbe unalijua hilo! Hata idadi ya magari na shell za mafuta mkoa wa mwanza ni wa pili baada ya Dar!Kibiashara mnatuzidi kulingana na eneo mji ulipo hilo mi nakubali,ila uzuri wa mji kwa maana ya majengo barabara madhari hamgusi Arusha
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Kwani Arusha Kuna mbuga ipi nawe kibwengo unapayuka tu kama fala. Unasifu kijinga jinga sana. Sehemu za utalii zipo Kilimanjaro, manyara na mara. Majisifa kama toto la mwisho kuzaliwa.π π π π π π Amakweli we boya sasa mwanza itakuwa vipi tourists destination yani kivipi kwa mfano. Hivi swali jepesi mwanza Kuna 5star Hotels na 7star Hotels ngapi? Kuna mbuga ngapi hahaha hiyo route ya kuingia Serengeti kupitia mwanza yenyewe haina mvuto. Unajua tuachane na ushabiki mavi Yani mwanza kuipiku Arusha au mkoa wowote kuipiku Arusha kitalii ni ndoto za abunuasi. Arusha ni Tourism Capital na East Africa Community capitaland Headquarters nukuu neno Tourism Capital na East Africa Community Capital(Makao makuu ya Jumuiya ya Africa Mashariki), Dar es Salaam ni business capital sasa mwanza sijui ni fishing capital au lake capital I don't fucking know. Ila Kama hujui basi jua hilo.
Haya madini hawayajui. Huoni hata ongea Yao wanaiga lafudhi ya wakenya. Halafu utawasikia wanasema nyoko nyoko na mimeno Yaoππππ. A joke...Mwanza inaweza isiwe Tourism Capital ila ukatae ukubali Mwanza ni Business Capital kubwa kuzidi Arusha! Angalia hata safari za local flight mwanza inazo nyingi kuzidi KIA! N a kwa taarifa yako uwanja ukishakuwa na certificate ya International mtapambana nayo sana tu! Maana ukumbuke hata kwenye international flight nyinyi ni wa tatu, ya kwanza Abeid international Airport Zanzibar ya pili ni Julius International Airport Dar! Ila mlivyo na kelele sasa!
Hajasema inayojengwa na serikali, elewa alichokiandikaHotel hazijengwi na serikali kijana,kua na updates ni ngumu kimtindo
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Watu wa Arusha...ni Lin mtapata mega project kama hizi [emoji116]Hotel hazijengwi na serikali kijana,kua na updates ni ngumu kimtindo
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Hapa napongezaWatu wa Arusha...ni Lin mtapata mega project kama hizi [emoji116]
Central market [emoji91] codes #nyamagana[emoji91][emoji91]View attachment 2489225View attachment 2489227
[emoji120][emoji120]...hapa sasa umenidhihirishia kuwa wew ni matured and logic person .. endelea hivyo hivyo utafanikiwa sana
Tuko pamoja kk[emoji120][emoji120]...hapa sasa umenidhihirishia kuwa wew ni matured and logic person .. endelea hivyo hivyo utafanikiwa sana
We jamaa nakukubali sana ubishani wako ni Wakutumia akili