The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Sijawahi liwa na mtu Wala huyo Jiwe wenuWewe si uliliwa na mwendazake kwenye vyeti feki au hukumbuki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijawahi liwa na mtu Wala huyo Jiwe wenuWewe si uliliwa na mwendazake kwenye vyeti feki au hukumbuki.
😀😀😀😀😀😀😀 Sawa Mr. FallaSijawahi liwa na mtu Wala huyo Jiwe wenu
Kwanini unataka kutoka arusha na unataka kuhamia mwanza?Kwanza Arusha inaeza kua ata nchi Kwa sababu inaweza kujitegemea kwa Kila kitu Any way sitaki kuishi Home sweet home mwenye kiwanja mwanza aje tubadilishane
Ndo home Sasa sitaki kuishi Nyumbani MimiKwanini unataka kutoka arusha na unataka kuhamia mwanza?
Unakimbia geneva ya Africa?Ndo home Sasa sitaki kuishi Nyumbani Mimi
As Usually, Nashangaa hata Kagera nayo inatoka wapi kushindana na Kilimanjaro,watu masikini hata umeme hawana
Na arusha wamekalia msumali wa shinyanga
Na nyie Kilimanjaro mmelamba mjegejo wa Mara.As Usually, Nashangaa hata Kagera nayo inatoka wapi kushindana na Kilimanjaro,watu masikini hata umeme hawana
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Sijui Huwa wanachomoa plug kama ya kupost hoja zao [emoji28][emoji28][emoji28][emoji116]Na nyie Kilimanjaro mmelamba mgegejo wa Mara.
Huyu atakuwa ni sunk farasi au tuusanSijui Huwa wanachomoa plug kama ya kupost hoja zao [emoji28][emoji28][emoji28][emoji116]View attachment 2512920
Kwa gap ya 0.29GwH[emoji2][emoji2][emoji23] we kweli kimeoNa nyie Kilimanjaro mmelamba mgegejo wa Mara.
Sasa wewe mara inashindana na klm kwa kitu gani tukileta takwimu hapa Mara si mtaaibika mura?Na nyie Kilimanjaro mmelamba mgegejo wa Mara.
Ni Bora uzileteSasa wewe mara inashindana na klm kwa kitu gani tukileta takwimu hapa Mara si mtaaibika mura?
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Hamna kitu kinachowauma Arusha kuwa landlocked.hamna water bodies yoyote ..mji unakosa mandhari...Kwa gap ya 0.29GwH[emoji2][emoji2][emoji23] we kweli kimeo
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Kuna biashara Chuga,nyie pagaweni na ziwa tuHamna kitu kinachowauma Arusha kuwa landlocked.hamna water bodies yoyote ..mji unakosa mandhari...
Explore mwanza [emoji116]View attachment 2513007View attachment 2513008
Naona unatembea na kifigure hiki Kila siku ndio kinachokufariji... MBEYA is far ahead kibiashara kuliko huko muriet...Kuna biashara Chuga,nyie pagaweni na ziwa tuView attachment 2513010
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app