Yasasa unamaanisha nnKwani GDP ya sa hv ni trillion ngapi..acha kujitoa akili bas
Kumbe watalii wote wanatua Arusha [emoji28][emoji28]..watalii watawasaidia kwenye mapato ya TRA ila kwenye GDP mtastruggle...Kwa sabbabu mwanza tayari inazidi kufunguliwa MELI inaelekea kukamilika zao la pamba limerudi on fire ,daraja liko mwishoni kukamilika,, uwekezaji unazidi kuongezeka Kwa hyo be ready.[emoji116]Watalii wamerudi kibao sahv andikeni maumivu,bei ya ndizi nayo imerudi kama zamani tija ipo...
Kitu pekee mnatakiwa kujua ni kwamba Mbadilike na muache kilimo ha mkono
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
GDP ya mwaka huu
Angalia sekta zilozoingiza uchumi mkubwa nchini ziko mikoa Gani na sh ngap...pamba ,dhahabu , samaki
Ameizidi au hajaizidi? Ni aibu kujinganisha na mji wenye nusu ya raia wako kwa GDP.Unatakiwa uwe mfatiliaji na sio msikilizaji vijiweni...angalia ARUSHA alivyodrop per Capita income...na uangalie Mwanza ilivyorise Hadi kumfikia ARUSHA [emoji116]
now ARusha inaizidi mwanza elfu 33 tu kwenye per Capita income View attachment 2513035
Arusha ishapitwa GAP la almost trillion 5 GDP ...,,,,mpitwe nni Tena ...unaleta assumption hapa..huo utalii wako unadhani unaweza fix Hilo gap [emoji28][emoji28][emoji28]......... kukamilika Kwa Mwanza international airport kutaipa homa ya manjano ARusha kwenye market ya utaliiAmeizidi au hajaizidi? Ni aibu kujinganisha na mji wenye nusu ya raia wako kwa GDP.
Lini labda Mwanza itaipita Arusha. Covid 19 imeisha nategemea hilo gap la takwimu zijazo Mwanza itakuwa nyuma tu ya Arusha
Xprore mwanza [emoji116][emoji16][emoji91]Ameizidi au hajaizidi? Ni aibu kujinganisha na mji wenye nusu ya raia wako kwa GDP.
Lini labda Mwanza itaipita Arusha. Covid 19 imeisha nategemea hilo gap la takwimu zijazo Mwanza itakuwa nyuma tu ya Arusha
Hii ndiyo inajibu hoja yangu mkuu?Xprore mwanza [emoji116][emoji16][emoji91]View attachment 2513086
Hoja nishakujibu huko[emoji867]juu .... mwanza imeizidi Arusha GDP,,,na Mwaka huu believe me inawazidi per Capita...rejea figure zangu huko juu ...Hii ndiyo inajibu hoja yangu mkuu?
Sasa wanazidiwa hadi na Shinyanga wanaongea nini [emoji1787]Wakati unaendelea kujifariji,,,agiza castle light ya baridi ushushie na hiki[emoji116][emoji28]View attachment 2513020
Na arusha ni migodi ya Tanzanite tu ndio inatumia umeme lakini reality Singida imewanyea na kuwapumulia visogoni.Hapo Shinyanga ni migodi tuu hiyo ya Wazungu ila Kwa raia wako hopeless kabisa kwenye mabanda huko
Haya ndio mambo tunataka kuyaonaKumbe watalii wote wanatua Arusha [emoji28][emoji28]..watalii watawasaidia kwenye mapato ya TRA ila kwenye GDP mtastruggle...Kwa sabbabu mwanza tayari inazidi kufunguliwa MELI inaelekea kukamilika zao la pamba limerudi on fire ,daraja liko mwishoni kukamilika,, uwekezaji unazidi kuongezeka Kwa hyo be ready.[emoji116]View attachment 2513044View attachment 2513045View attachment 2513047View attachment 2513048
Ukizungumzia mazao Arusha wanalisha Nairobi kitunguu,nyanya,ndizi,carots,ginger,garlic nk...Biashara kati ya Arusha na Nairobi ni kubwa sanaHoja nishakujibu huko[emoji867]juu .... mwanza imeizidi Arusha GDP,,,na Mwaka huu believe me inawazidi per Capita...rejea figure zangu huko juu ...
Kuimarika kwa zao la pamba
Kuanza kwa mgodi wa nyanzaga
kuimarika Kwa sekta uvuvi
Kuboreshw Kwa biashara ya mazao ya choroko na dengu..
Uwekezaji katika miundombinu
Kukua kw sekta ya utalii
mwanza inalisha east Africa Mchele,dagaa na mahindiUkizungumzia mazao Arusha wanalisha Nairobi kitunguu,nyanya,ndizi,carots,ginger,garlic nk...Biashara kati ya Arusha na Nairobi ni kubwa sana
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Basi tunaenda sawa, ni sehemu ndogo tu tunapishanamwanza inalisha east Africa Mchele,dagaa na mahindi
Tungekuwa tunaenda saw..GDP zingelinganaBasi tunaenda sawa, ni sehemu ndogo tu tunapishana
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Mko 2× ya watu walioko Chuga usisahau hiloTungekuwa tunaenda saw..GDP zingelingana
Milioni 2.3 na milion 3.7 inakuaje mara mbili population.. usipende kutembea na assumption wakati realities zipo
3.7-2.3=1.4 hao ni watu wengi sanaMilioni 2.3 na milion 3.7 inakuaje mara mbili population.. usipende kutembea na assumption wakati realities zipo