Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Mwanza hands up [emoji119][emoji119]
 
Mmefanya vizuri lakini kuwashikisha adabu hawa wala mirungi na kuvaa maviatu makubwa na manguo oversize na wanajiona Arusha ndiyo kila kitu.
 
washamba utawajua tu. Ndio nini sasa hicho? Yani Mwanza bila rock city mall ni sawa na Singida tu.
 
washamba utawajua tu. Ndio nini sasa hicho? Yani Mwanza bila rock city mall ni sawa na Singida tu.
 
washamba utawajua tu. Ndio nini sasa hicho? Yani Mwanza bila rock city mall ni sawa na Singida tu.
 
,,,....big up sana watu wangu wa Mwanza ,,,... siku nyingine hamna mtu atakuwa na nguvu ya kuanzisha battle na hili jiji ...we are strong and united .NGUVU MOJA[emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
Makamanda wa Mwanza hamjatuangusha kwakweli.Hawa watoto wa Arachuga waanze kwanza kujifunza kuvaa na kuacja bangi na Miraa kabla hawajarukia mada nzito kama hizi.Vinginevyo wakichangia na akili zao za bangi na miraa watachakaa [emoji3][emoji3]
 
Makamanda wa Mwanza hamjatuangusha kwakweli.Hawa watoto wa Arachuga waanze kwanza kujifunza kuvaa na kuacja bangi na Miraa kabla hawajarukia mada nzito kama hizi.Vinginevyo wakichangia na akili zao za bangi na miraa watachakaa [emoji3][emoji3]
Yule mamluki wa njombe anachungulia tu Kwa mbali ...hii ngoma nzito[emoji28][emoji28][emoji16][emoji16][emoji16][emoji4][emoji4][emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida ni mwanza wameanza kuona maghorofa na supermarkets nk kuanzia 2010s ndio maana bado mna ulimbukeni na mapicha kila kukicha. Nenda NBS kaangalie miji inayoongoza kwa majengo ya maghorofa nk niliweka mashamba yakatulia kama yapo kwenye fridge. Washamba. Mwanza ina high concentration ya walugaluga. Backwards, genetically idiots. Nikianza kupost hapa mtasema sijui sio arusha au wapi, Arusha waliwatangulia kitambo. Mnajaribu kujishindanisha ili mpate haueni kisaikolojia ila nchi nzima ukisema unatoka mwanza nobody cares wanakuona mshamba wa kawaida ata 5G tu hakuna.
 
Shida ni mwanza wameanza kuona maghorofa na supermarkets nk kuanzia 2010s ndio maana bado mna ulimbukeni na mapicha kila kukicha. Nenda NBS kaangalie miji inayoongoza kwa majengo ya maghorofa nk niliweka mashamba yakatulia kama yapo kwenye fridge. Washamba. Mwanza ina high concentration ya walugaluga. Backwards, genetically idiots. Nikianza kupost hapa mtasema sijui sio arusha au wapi, Arusha waliwatangulia kitambo. Mnajaribu kujishindanisha ili mpate haueni kisaikolojia ila nchi nzima ukisema unatoka mwanza nobody cares wanakuona mshamba wa kawaida ata 5G tu hakuna.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…