Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Shida ni mwanza wameanza kuona maghorofa na supermarkets nk kuanzia 2010s ndio maana bado mna ulimbukeni na mapicha kila kukicha. Nenda NBS kaangalie miji inayoongoza kwa majengo ya maghorofa nk niliweka mashamba yakatulia kama yapo kwenye fridge. Washamba. Mwanza ina high concentration ya walugaluga. Backwards, genetically idiots. Nikianza kupost hapa mtasema sijui sio arusha au wapi, Arusha waliwatangulia kitambo. Mnajaribu kujishindanisha ili mpate haueni kisaikolojia ila nchi nzima ukisema unatoka mwanza nobody cares wanakuona mshamba wa kawaida ata 5G tu hakuna.
Acha ulofa, tulikushauri mapema acha bangi hukutaka kuelewa. Huu kisayansi ni upambavu mamboleo. Yaani tuishi na imagination zako fala kweli
 
Nshaweka sana huko nyuma mpaka takwimu na mkazikataa, we don't have time for that non sense, mna insecurity you want to feel better kwa kujishindanisha na giant alietulia zake. Mji wa kishamba bana ata madem ukisema unatoka mwanza wanajua boya. Nimewachoka watu wa Mwanza
Kingine, ili kwako mtu awe boya anatakiwa aweje?
 
Acha hasira wewe bwege,hapajachangamka fullstop.
Ni pazuri ila hapajachangamka kwani uongo.unataka sifa za uwongo ili iweje
Kuchangamka kivipi yaani mbona hatukuelewi. Au unafikiri makelele ya matangazo ya nguo pale mnapaita half London mwanza hayapo. Hauufahamu mji wewe. Sisi tunaenda kwa facts maana maeneo yote tunayafahamu.
 
Ile sensa ya nyumba ilihitimisha hii battle mwanza ilikuwa na ghorofa vichache mno sijui kwanini ni wabishi wanaendelea na hii battle
 
Mwanza hakuna hot air ballons, hakuna camping hakuna, luxury estates, hakuna shopping choices, hakuna enough standard hotels, hakuna mlima, hakuna vitu kibao, hawana uelewa wa haraka, hawapo sharp , hawana exposure ya kukutana na watu wa mataifa mbalimbali, hakuna maghorofa ya maana, ni kijiji kilichochangamka, CBD inazidiwa na Dodoma, Arusha City ni wilaya moja tu, waki recategorize kama inavyotakiwa Mwanza is nothing, Arusha hakuna lugha kubwa duniani isiyozungumzwa pale. Hakuna mjanja anaishi mwanza. Expatriates kibao wanaishi arusha ever thought why? wapo ahead. Mwendazake na makonda na gang yao wamefanya juu chini arusha na kilimanjaro zikapoa ila Mungu akafanya yake.
Wazee tumjibu au tumwache aendelee kuwa mjinga😀😀😀😀😀
 
Ile sensa ya nyumba ilihitimisha hii battle mwanza ilikuwa na ghorofa vichache mno sijui kwanini ni wabishi wanaendelea na hii battle
Leta sehemu kama hii Arusha
JamiiForums365540969.jpg
 
Mwanza hakuna hot air ballons, hakuna camping hakuna, luxury estates, hakuna shopping choices, hakuna enough standard hotels, hakuna mlima, hakuna vitu kibao, hawana uelewa wa haraka, hawapo sharp , hawana exposure ya kukutana na watu wa mataifa mbalimbali, hakuna maghorofa ya maana, ni kijiji kilichochangamka, CBD inazidiwa na Dodoma, Arusha City ni wilaya moja tu, waki recategorize kama inavyotakiwa Mwanza is nothing, Arusha hakuna lugha kubwa duniani isiyozungumzwa pale. Hakuna mjanja anaishi mwanza. Expatriates kibao wanaishi arusha ever thought why? wapo ahead. Mwendazake na makonda na gang yao wamefanya juu chini arusha na kilimanjaro zikapoa ila Mungu akafanya yake.
Acha ujinga mwanza ishakuwa Jiji kitambo mwendazake hata hakuwa kwenye kitabu chochote Cha kumbu kumbu. Tatizo mkilewa bangi mnaona ukabila ndo ajenda kwenye. Tumia akili yako kabla hujavuta au kunywa hizo high life.
 
Nshaweka sana huko nyuma mpaka takwimu na mkazikataa, we don't have time for that non sense, mna insecurity you want to feel better kwa kujishindanisha na giant alietulia zake. Mji wa kishamba bana ata madem ukisema unatoka mwanza wanajua boya. Nimewachoka watu wa Mwanza
Tumekutumia sana hata hivyo kwenda zako
 
Kuna wakati nilitaka kufanya GRE test au IELTS booking nikiwa mwanza nkajua basi labda wanasema ni jiji itakuwa kawaida, mavi.. yani ata walikuwa hawanielewi ikabidi nifanye booking Arusha maana dar kulikuwa kumejaa , mwanza is just garbage bro sio jiji ndio maana mnaweweseka na vipicha, arusha wakiamua kupiga picha mtajua hamjui sema wenzenu hawaoni kama ni ajabu. Mwanza is trash.
Tumekutumia sana hata hivyo kwenda zako
 
Shida ni mwanza wameanza kuona maghorofa na supermarkets nk kuanzia 2010s ndio maana bado mna ulimbukeni na mapicha kila kukicha. Nenda NBS kaangalie miji inayoongoza kwa majengo ya maghorofa nk niliweka mashamba yakatulia kama yapo kwenye fridge. Washamba. Mwanza ina high concentration ya walugaluga. Backwards, genetically idiots. Nikianza kupost hapa mtasema sijui sio arusha au wapi, Arusha waliwatangulia kitambo. Mnajaribu kujishindanisha ili mpate haueni kisaikolojia ila nchi nzima ukisema unatoka mwanza nobody cares wanakuona mshamba wa kawaida ata 5G tu hakuna.
Acha kuishi kwa kukariri wewe dunia inabadilika kila iitwapo leo!
 
Kuna wakati nilitaka kufanya GRE test au IELTS booking nikiwa mwanza nkajua basi labda wanasema ni jiji itakuwa kawaida, mavi.. yani ata walikuwa hawanielewi ikabidi nifanye booking Arusha maana dar kulikuwa kumejaa , mwanza is just garbage bro sio jiji ndio maana mnaweweseka na vipicha, arusha wakiamua kupiga picha mtajua hamjui sema wenzenu hawaoni kama ni ajabu. Mwanza is trash.
Is trash in your own dust bin sorry!! Your mouth 😀😀😀😀
 
Kuna wakati nilitaka kufanya GRE test au IELTS booking nikiwa mwanza nkajua basi labda wanasema ni jiji itakuwa kawaida, mavi.. yani ata walikuwa hawanielewi ikabidi nifanye booking Arusha maana dar kulikuwa kumejaa , mwanza is just garbage bro sio jiji ndio maana mnaweweseka na vipicha, arusha wakiamua kupiga picha mtajua hamjui sema wenzenu hawaoni kama ni ajabu. Mwanza is trash.
Panicked! 🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom