Hulda-Tamarri
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 1,412
- 1,669
Hata kama vingekuwa viwili ila Mwanza ni pazuri bhana, wala mirungi kaeni kwa kutulia!Ile sensa ya nyumba ilihitimisha hii battle mwanza ilikuwa na ghorofa vichache mno sijui kwanini ni wabishi wanaendelea na hii battle
Watu wa Mwanza mmetisha sana.Kitambo sana, sindano imekita kwenye medulla
Tukisema tutembee Kwa takwimu,mbeya ni jiji kubwa na Tajiri kuzidi Arusha......Mkuu sina haja na picha...
Twakimu zinazijulikana mwanza kuna vijighorofa vichache namba hazidanganyiView attachment 2523128
Kwani ni wewe tu ndie unaeifahamu mwanza wewe.kwani nimetaka wewe unielewe mbona km unawashwa washwaKuchangamka kivipi yaani mbona hatukuelewi. Au unafikiri makelele ya matangazo ya nguo pale mnapaita half London mwanza hayapo. Hauufahamu mji wewe. Sisi tunaenda kwa facts maana maeneo yote tunayafahamu.
Wanajua sema jeuri ya ulofa wa kubeba mabegi ya wazungu imegeuka ujanja kwaoTukisema tutembee Kwa takwimu,mbeya ni jiji kubwa na Tajiri kuzidi Arusha......
[emoji116]View attachment 2523159View attachment 2523160
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hasira sasa 🤣🤣🤣,yani mnataka msifiwe tu? kubalini ukweli hapajachangamka,hakuna mishemishe au unadhani ww tu ndio unaijua mwanzaEti hapachangamka .. Arusha kumechangamka nini ,,na wapi [emoji16][emoji16]..au unavyoenda kuokoteleza malaya pale shivaz ..ndo kuchangamka huko....
Sent using Jamii Forums mobile app
Unasema kuchangamka gani.... unapajua shade mwanza [emoji1]Kwani ni wewe tu ndie unaeifahamu mwanza wewe.kwani nimetaka wewe unielewe mbona km unawashwa washwa
We si fala, unataka tukuamini wewe na ujinga wako. Unafikiri tumesoma shule za Bure😀😀😀Kwani ni wewe tu ndie unaeifahamu mwanza wewe.kwani nimetaka wewe unielewe mbona km unawashwa washwa
Nitamjibu kwa picha Wala asikupe shidaUnasema kuchangamka gani.... unapajua shade mwanza [emoji1]
Sema haujui tukusaidie
Kuchangamka kivipi eleweka, vibe tu la buhongwa ni tosha kukutiza wengeWe si fala, unataka tukuamini wewe na ujinga wako. Unafikiri tumesoma shule za Bure😀😀😀
Umeshakunywa mbege unatuona sisi ni wajinga kama weweKuna wakati nilitaka kufanya GRE test au IELTS booking nikiwa mwanza nkajua basi labda wanasema ni jiji itakuwa kawaida, mavi.. yani ata walikuwa hawanielewi ikabidi nifanye booking Arusha maana dar kulikuwa kumejaa , mwanza is just garbage bro sio jiji ndio maana mnaweweseka na vipicha, arusha wakiamua kupiga picha mtajua hamjui sema wenzenu hawaoni kama ni ajabu. Mwanza is trash.
🤣🤣🤣🤣Wapi wewe bwege umesoma huko sengerema,elimu ya bureWe si fala, unataka tukuamini wewe na ujinga wako. Unafikiri tumesoma shule za Bure😀😀😀
Wewe mdogo wangu acha dharau, kuhusu elimu ni kipengele kingine ila kubali battle imekulalia na ni facts tupu. Sisi tunaenda kwa maneno na vitendo.🤣🤣🤣🤣Wapi wewe bwege umesoma huko sengerema,elimu ya bure
Basi mwanza ni noma,mwanza ni shida,mwanza ni habari nyingine,mwanza ni zaidi ya newyork,mwanza ni wajanja 🤣🤣
Buhongwa ni zaidi ya Alaska hakuna kama buhongwa Afrika hii 🤣🤣Kuchangamka kivipi eleweka, vibe tu la buhongwa ni tosha kukutiza wenge
Ukini provoke lipoBuhongwa ni zaidi ya Alaska hakuna kama buhongwa Afrika hii 🤣🤣
Una lingine?
Eeh mwanza ni newyork ya Tanzania 🤣🤣 hata facts za sensa zinaoneshaWewe mdogo wangu acha dharau, kuhusu elimu ni kipengele kingine ila kubali battle imekulalia na ni facts tupu. Sisi tunaenda kwa maneno na vitendo.
Mwanza ni shida,hakuna kama mwanza Afrika hiieUkini provoke lipo