Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Ile sensa ya nyumba ilihitimisha hii battle mwanza ilikuwa na ghorofa vichache mno sijui kwanini ni wabishi wanaendelea na hii battle
Hata kama vingekuwa viwili ila Mwanza ni pazuri bhana, wala mirungi kaeni kwa kutulia!
 
Sasa watu wa Arusha wamekosa picha kweli? [emoji41][emoji41] Anyways wataleta nini ilhali ukitoka tu CBD mfano ukitoka Mianzini mataa kwenda Ilboru kule unaanza kukutana na nyumba za tope in less than a kilometre toka highway [emoji41]
 
699b34edb4065e3cf80491a9297559de.jpg
d1327033978def0b434320e1d225926f.jpg
IMG_20220715_225247.jpg
1622915302549_InstaSaver.jpg
Mwanza-City-1.jpg

Sisi hatujaanzisha hii maada, kwahiyo mtuwie radhi tu.
 
Kuchangamka kivipi yaani mbona hatukuelewi. Au unafikiri makelele ya matangazo ya nguo pale mnapaita half London mwanza hayapo. Hauufahamu mji wewe. Sisi tunaenda kwa facts maana maeneo yote tunayafahamu.
Kwani ni wewe tu ndie unaeifahamu mwanza wewe.kwani nimetaka wewe unielewe mbona km unawashwa washwa
 
Eti hapachangamka .. Arusha kumechangamka nini ,,na wapi [emoji16][emoji16]..au unavyoenda kuokoteleza malaya pale shivaz ..ndo kuchangamka huko....

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hasira sasa 🤣🤣🤣,yani mnataka msifiwe tu? kubalini ukweli hapajachangamka,hakuna mishemishe au unadhani ww tu ndio unaijua mwanza
 
Kuna wakati nilitaka kufanya GRE test au IELTS booking nikiwa mwanza nkajua basi labda wanasema ni jiji itakuwa kawaida, mavi.. yani ata walikuwa hawanielewi ikabidi nifanye booking Arusha maana dar kulikuwa kumejaa , mwanza is just garbage bro sio jiji ndio maana mnaweweseka na vipicha, arusha wakiamua kupiga picha mtajua hamjui sema wenzenu hawaoni kama ni ajabu. Mwanza is trash.
Umeshakunywa mbege unatuona sisi ni wajinga kama wewe


Daraja la watembea kwa miguu[emoji1] MWANZA
IMG_0995.JPG.jpg
 
We si fala, unataka tukuamini wewe na ujinga wako. Unafikiri tumesoma shule za Bure😀😀😀
🤣🤣🤣🤣Wapi wewe bwege umesoma huko sengerema,elimu ya bure

Basi mwanza ni noma,mwanza ni shida,mwanza ni habari nyingine,mwanza ni zaidi ya newyork,mwanza ni wajanja 🤣🤣
 
🤣🤣🤣🤣Wapi wewe bwege umesoma huko sengerema,elimu ya bure

Basi mwanza ni noma,mwanza ni shida,mwanza ni habari nyingine,mwanza ni zaidi ya newyork,mwanza ni wajanja 🤣🤣
Wewe mdogo wangu acha dharau, kuhusu elimu ni kipengele kingine ila kubali battle imekulalia na ni facts tupu. Sisi tunaenda kwa maneno na vitendo.
 
Wewe mdogo wangu acha dharau, kuhusu elimu ni kipengele kingine ila kubali battle imekulalia na ni facts tupu. Sisi tunaenda kwa maneno na vitendo.
Eeh mwanza ni newyork ya Tanzania 🤣🤣 hata facts za sensa zinaonesha
 
Back
Top Bottom