Hulda-Tamarri
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 1,412
- 1,669
Hata kama vingekuwa viwili ila Mwanza ni pazuri bhana, wala mirungi kaeni kwa kutulia!Ile sensa ya nyumba ilihitimisha hii battle mwanza ilikuwa na ghorofa vichache mno sijui kwanini ni wabishi wanaendelea na hii battle