Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Na nyie shukruni hiyo ware house kugeuzwa matumizi na kuwa AIM MALL. vinginevyo mngekuwa mnasota na ujuaji wenu.
 
Futa akaunti jf, na acha kubishana na sisi basi kama hicho ndo kigezo. Hata hujalazimishwa mbona.
Nifute akaunti kwa ajili ya kubishania magorofa ya watu🤣🤣..acha ushamba wewe hizo ghorofa zinanisaidia nini
 
Mwanza bila rock city mall ni sawa na singida tu 😀😀, Mshukuruni yule mzee sana,kawajengea sehemu ya kupigia picha 😁

Imewapa kujiamini kidogo na daraja lile
Hii sindano ya ubongo inakutia wenge. Assume hatuna rock city mall tuma picha tushindanishe.
 
Nifute akaunti kwa ajili ya kubishania magorofa ya watu🤣🤣..acha ushamba wewe hizo ghorofa zinanisaidia nini
Usinikenulie meno yako hapa umesema wee mtu mzima sasa mbona unabishana na sisi. Unajua human development goes through stages according to Freud sigmond?. Seems baadhi ya stage hujazipitia na ndo sasa umeamua kuzikamua. Kwa muktadha huo you are mentally not good. Umri wako ulitakiwa ukae na kulea familia yako. Vitu vya hapa vinahitaji justification ya either data au picha.
 
Dah, sijapenda[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Justication for wasting time with uneducated people..
Halafu ni wewe ulini-quote wala sikuwa nakujibu wewe!
Unadhani kila mtu ni mshamba anazunguka mjini akipiga picha ili alete jf aonyesha..acha ushamba wa smartphone na kushangaa maghorofa..
 
H

Ashukuriwe Magufuli kwa kukumbuka kwao
Bila Magufuli kuwasaidia ili daraja na rock city mall sijui ingekuwaje 🤣🤣
 
H



Ashukuriwe Magufuli kwa kukumbuka kwao
Bila Magufuli kuwasaidia ili daraja na rock city mall sijui ingekuwaje 🤣🤣
Acha ujinga, rocky city mall imejengwa kipindi Cha magu. Cannabis zishawachomea centre bolt.
 
Gold crest hotel ya mchaga hio 🤣🤣,mtu anatoka kaskazini anaenda kuwajengea hotel,wenyeji wanavua dagaa tu 😀
Si angejeka Arusha palipochangamka, halafu acha ujinga wako hapa, Hilo jengo unalijua au unaropoka tu
 
Si angejeka Arusha palipochangamka, halafu tia ujinga wako hapa, Hilo jengo unalijua au unaropoka tu
Anayo Arusha 3 na mwanza anayo 1.watu wanajua kutafuta pesa
Mnapost post mijengo ya wanaume tu

Wewe kavue dagaa huko 🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…