Infinix mwanza kumbe zishafika? hongereni, ni hatua kubwa sana, kumbe ndio maana mnapenda mapicha ya vighorofa uchwara vyenu hahaaWe mpuuzi na hio infinix uliyohongwa na shemeji yako[emoji3][emoji3]
Hauna hela
Mimi siijui Arusha???? Mimi ni Mchaga, naishi Arusha. Nenda Bar inaitwa Oxygen kama utakosa wachugga π π πNa wengi huwa ata hawaijui Arusha , kwa kuwa wanajua hamna exposure mnachanganya lafudhi, wanawachomekea mnaingia mkenge, we mtoto wa makao mapya eti akawe bar maid tabora au mwanza, mtajua hamjui, uko wanakuja wambulu wa hanang na wanyaturu kula ela za washamba.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] hiki ni niniChuga View attachment 2523932View attachment 2523933View attachment 2523934
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Wewe masikini mshamba toka hapa hujui chochoteWala sina makasikiriko ila nashangaa navyojibiwa na watu wengi tangu jana..
Kwamba magorofa ni very serious issue mwanza
Arusha ni jiji la kimataifa, airport ya kimatafa na Stand ya kimataifa[emoji16]Mjuba amewachanganya? [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Mwanza panaweza kufika hivyo? Na icho ni kijipande, watu wa arusha hawana muda tu na upuuzi wakiamua mwanza mtajua hamjui
Muwasaidie mama zenu waache biashara za ndizi zinawaongezea maji[emoji3]Kila mtu nani? Obama labda? Bill Clinton, Bill Gates? Jeff Bezos? Kina Abramovic nk. Hawa na wengine kibao wanapasuaga mitaa ya atown na watu wamezoea.
Jikote kwenye Thread na uache uchoko[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] hiki ni nini
Tajiri wa arusha unatumia Samsung a03 aka tecno
Mimi siwezi kutumia simu za kimaskini kama wewe [emoji3] hauna hela umechoka njaa fukara za kiarusha[emoji1]Infinix mwanza kumbe zishafika? hongereni, ni hatua kubwa sana, kumbe ndio maana mnapenda mapicha ya vighorofa uchwara vyenu hahaa
Mtu anaetoka sehemu ya kitajiri anajisifu kua yeye ni bora kumbe njaaa tu mla mavi [emoji1]
Unajiona mjanja huku unatumia Samsung A03[emoji1][emoji1]
Rudi kwenye uzi,huu ni upumbavu sasaMtu anaetoka sehemu ya kitajiri anajisifu kua yeye ni bora kumbe njaaa tu mla mavi [emoji1]
Unajisikiaje kutumia simu ya kichoko nyoko kama hio? Hauna hadhi ya kutumia simu nzuri[emoji1] yaaani umochoka njaaaa kali umepauka
Mimi ni msukuma mshamba lakini siwezi kutumia simu ya kimaskini kama hio[emoji1]
Kuwa na adabu maada hii ilianzishwa na mpumbavu mwenzakoHayo meno ya rangi sio kuoza. Pia shinyanga na mwanza kuna wasukuma kibao nao wanarangi kwenye meno
Maghorofa mwanza ni issue. Ndio wameanza kuyaona juzijuzi tu. Unategemea nini? Niliwapa list ya maghorofa marefu Tanzania, Mwanza hakuna ata moja. Mwanza ni malimbukeni ndio maana wanajishindanisha na Arusha, huwezi kuta watu wa ARUSHA wanahangaika kujilinganisha na mwanza, hawapo insecure.
kinyeoKuwa na adabu maada hii ilianzishwa na mpumbavu mwenzako
Mm ni mjinga ninaekizid kwa kila kitu[emoji1]Rudi kwenye uzi,huu ni upumbavu sasa
Mwandiko wako tu unaonyesha wewe ni Mjinga kamili,umekosa contents unaanza bullying?bloody fool
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Kinyeo kweli pwagukinyeo
Hiyo list yako ni fake na ilijaa bias kama zote, kulikuwa na jengo la ghorofa 13 kwenye list lakin maghorofa ya Mwanza hayamo, yaan ata lile la nssf la ghorofa 18 halikuwepo unambie hiyo list ilikuwa fair kwel.Hayo meno ya rangi sio kuoza. Pia shinyanga na mwanza kuna wasukuma kibao nao wanarangi kwenye meno
Maghorofa mwanza ni issue. Ndio wameanza kuyaona juzijuzi tu. Unategemea nini? Niliwapa list ya maghorofa marefu Tanzania, Mwanza hakuna ata moja. Mwanza ni malimbukeni ndio maana wanajishindanisha na Arusha, huwezi kuta watu wa ARUSHA wanahangaika kujilinganisha na mwanza, hawapo insecure.
Punguza jazba mzee, hii ni battle na kama ni battle unataka tupigizane kelele tu bila evidence, fact wala data.Hadi aibu, eti nataka picha. dah kweli watu wa mwanza ni hopeless, kwahiyo mnakaaga na ushamba wenu kupiga picha vijighorofa uchwara vyenu hapo? loosers.
Moses swai wewe ni mchaga pekee mwenye akili na unayejielewa ila sorry kwa kuwatukana mazee.Mimi siijui Arusha???? Mimi ni Mchaga, naishi Arusha. Nenda Bar inaitwa Oxygen kama utakosa wachugga π π π