tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,972
- 20,221
Achana na huu ujinga kabisa,Mm ni mjinga ninaekizid kwa kila kitu[emoji1]
Unajisikiaje kuzidiwa pesa na msukuma mshamba
unatumia Samsung A03 mwanaume mzima na wewe ukisimama kwa watu unawaita wasukuma washamba masikini
Wewe ni fukara tu usirudie kuwaita wasukuma washamba na masikini, wenye pesa tupo[emoji3]
Haya turudi kwenye mada.. arusha mnatuzidi nini wanamwanza?
Nilikuambia tangu awali focus na thread sijui ni masikio Huna ama nn
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app