Achana na huu ujinga kabisa,Mm ni mjinga ninaekizid kwa kila kitu[emoji1]
Unajisikiaje kuzidiwa pesa na msukuma mshamba
unatumia Samsung A03 mwanaume mzima na wewe ukisimama kwa watu unawaita wasukuma washamba masikini
Wewe ni fukara tu usirudie kuwaita wasukuma washamba na masikini, wenye pesa tupo[emoji3]
Haya turudi kwenye mada.. arusha mnatuzidi nini wanamwanza?
Na hapa ndio cbd hapana tofauti na nyegezi 15km from City centre.Arusha ni jiji la kimataifa, airport ya kimatafa na Stand ya kimataifa[emoji16]View attachment 2524052
Acha matusi leta data na facts sisi zote ni watanzania au nyie ni wakenya?Rudi kwenye uzi,huu ni upumbavu sasa
Mwandiko wako tu unaonyesha wewe ni Mjinga kamili,umekosa contents unaanza bullying?bloody fool
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Dalili ya ukosefu wa akili na stress zilizoambatana na depresion.kinyeo
Tupe direction tufocus kwenye maneno matupu, au matusi au kejeli au dhihaka, wana Mwanza wakileta picha humu na evidence mnawaita washamba wa mapicha, wakileta picha za maghorofa et washamba wa maghorofa sasa tupeni mwongozo la sivyo uzi ufungwe, hakuna battle hapa na kila idara nyie Arusha mmezidiwa na watu wa Mwanza.Achana na huu ujinga kabisa,
Nilikuambia tangu awali focus na thread sijui ni masikio Huna ama nn
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Tuma picha maelezo kidogo, yes mji wenu ni wakishamba tutawaambia ilo mpende ama msipende....Tupe direction tufocus kwenye maneno matupu, au matusi au kejeli au dhihaka, wana Mwanza wakileta picha humu na evidence mnawaita washamba wa mapicha, wakileta picha za maghorofa et washamba wa maghorofa sasa tupeni mwongozo la sivyo uzi ufungwe, hakuna battle hapa na kila idara nyie Arusha mmezidiwa na watu wa Mwanza.
Ameachana na topic ameanza kuchambua simu nayotumia?huo ni utoto na ujinga nilszima nmewambie,kama battle imemuelemea atoke jf kwanzaAcha matusi leta data na facts sisi zote ni watanzania au nyie ni wakenya?
Wewe ndio uache mambo ya kijinga,hujui naweza kukusadia?Achana na huu ujinga kabisa,
Nilikuambia tangu awali focus na thread sijui ni masikio Huna ama nn
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Unarudia kutuita sisi washamba[emoji1][emoji1], kijana unapenda kujimwambafy kwenye upuuzi.Tuma picha maelezo kidogo, yes mji wenu ni wakishamba tutawaambia ilo mpende ama msipende....
Lakini haimaanishi ndio uko hovyo kote,kuna visehemu kunaeleweka
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Nimeshangaa wewe unaejiita mjanja kutumia simu ya kifala[emoji1] Mm ni mshamba ila siwezi kutumia simu kama yako hzo n simu za mabeki tatuAmeachana na topic ameanza kuchambua simu nayotumia?huo ni utoto na ujinga nilszima nmewambie,kama battle imemuelemea atoke jf kwanza
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Mjanja unaishi mabatini?Nimeshangaa wewe unaejiita mjanja kutumia simu ya kifala[emoji1] Mm ni mshamba ila siwezi kutumia simu kama yako hzo n simu za mabeki tatu
Ulishindwa kwenda shule unataka umsaidie naniWewe ndio uache mambo ya kijinga,hujui naweza kukusadia?
Wewe unataka tufocus kwenye nini naona unarukaruka tu
Ukitoa hizo gorofa naiona usagara [emoji3]
[emoji1] usiniweke kwenye kundi la masikini wenzako
Ila madesigner wetu ban huko juu kulikua na haja gani ya kuweka roof ya batiNikiangalia background ya Hilo jengo ni uswazi mtupu [emoji12][emoji12][emoji12][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 2504917
Sasa notification zikijaa shida niniMkuu huo muda sina..
Kitu ambacho nimegundua pia huu uzi ni wa wasukuma haiwezeni niandiake post moja nijibiwe mara 30 na watu tofauti tofauti mnanijazia notifications
Johannesburg kuna ziwa ama bahari?even Nairobi kuna bahari? London?Kama hakuna ziwa au bahari, hilo sio jiji, ni uchochoro. Na nikosa kubwa kuanzisha battle kati ya jiji na uchochoro. I mean hawa watu wa uchochoron battle likiwatoa jasho watakwenda kupunga wapi upepo?![emoji15]
Wewe ni maskini wa akili, akili yako ndogo sana pole[emoji1] usiniweke kwenye kundi la masikini wenzako
Tupe direction tufocus kwenye maneno matupu, au matusi au kejeli au dhihaka, wana Mwanza wakileta picha humu na evidence mnawaita washamba wa mapicha, wakileta picha za maghorofa et washamba wa maghorofa sasa tupeni mwongozo la sivyo uzi ufungwe, hakuna battle hapa na kila idara nyie Arusha mmezidiwa na watu wa Mwanza.