Karibu tupunge upepo wa Ziwa victoria😌Johannesburg kuna ziwa ama bahari?even Nairobi kuna bahari? London?
Watu wa mwanza ni akili hamna ama ni nn
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile
Ona hili jinga darasa la 2 D failure
Dah.. [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Mm ni mjinga ninaekizid kwa kila kitu[emoji1]
Unajisikiaje kuzidiwa pesa na msukuma mshamba
unatumia Samsung A03 mwanaume mzima na wewe ukisimama kwa watu unawaita wasukuma washamba masikini
Wewe ni fukara tu usirudie kuwaita wasukuma washamba na masikini, wenye pesa tupo[emoji3]
Haya turudi kwenye mada.. arusha mnatuzidi nini wanamwanza?
Akili unatumia A03 [emoji16][emoji16] ukiwa mkubwa mwenye akili, tafuta njia za hela ili usije kua mkubwa ambae hauna akili wa helaWewe ni maskini wa akili, akili yako ndogo sana pole
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Huyu ni kijana sio mzeeDah.. [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Ila sio fresh kupima hadhi ya maisha ya mtu kwa kuangalia simu anayotumia. Mimi kuna jamaa yangu mzee wake ni mbunge, lakini nilimwona faza ake anatumia Infinix Smart 6, duh nilishangaa sana kuona mbunge anatumia Infinix ya bei rahisi kama hiyo wakati watoto wake amewatandika macho matatu wote, na nyumba yao ni unyama tena ghorofa kali tu Kijichi.
Kuna wengine simu zao ni za kimasikini ila wenyewe sio masikini. Wanasema "They don't give shit about the goddamn phones" [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
UhakikaNani hajapata jibu?
Mwanza sio ya kuilinganisha na vimji vya ajabu ajabu kama Arusha.
Mwanza inakimbizana na Dar kwenye kila kitu, miundombinu, mapato, wingi wa watu, uchangamfu, starehe, watoto wazuri, vyuo, nk. Muwe mnasoma hata takwimu/taarifa za serikali zinatolewa kila mara kuonyesha Mwanza is untouchable.
Arusha ilinganisheni na Kahama ama Musoma sio Mwanza ni kuivunjia heshima Mwanza.
Sisi wanasias tunasema uwekezaji wa kunajisi juhudi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Tunawekeza ili kuwakomoaHaters mtasema hapa ni Mauritius ...
Hii tourism destination city,,nawapa miaka 5 tu .....mtaanza kulia Kwa meno .. uwekezaji unaokuja huku unalenga kuwanyanganya Kila kitu mlicho nacho View attachment 2518666View attachment 2518676
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pigaa maweUkiendelea narudi Tena, ujue tunawachora tu.
Dah..... sijapenda [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Sponsored by Samsung A03 [emoji16][emoji16]
Hii simu display resolution ya ni 720×1600 masikini hata picha zinazotumwa humu yeye anaona ukungu ukungu[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]View attachment 2524149
Jamaa anasema mwanza sio nzuri kumbe tatizo ni simu yake[emoji1] tunahangaika kupiga picha nzuri kumbe Simu yake haina uwezo wa kuonesha FHDDah..... sijapenda [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
JamiiForum wanazicompres picha kama hii toka mb 8 hadi 1 sipati picha kwa yule jamaa a03[emoji16][emoji16] sijui ataona nn?Watu wa chuga tunataka na picha za mitaa yenu[emoji16]
View attachment 2524179
JamiiForum wanazicompres picha kama hii toka mb 8 hadi 1 sipati picha kwa yule jamaa a03[emoji16][emoji16] sijui ataona nn?
Mwanza this is a shame. Yani hicho mnaona ni ajabu?Watu wa chuga tunataka na picha za mitaa yenu😁
View attachment 2524179