Makala wiza
Member
- Feb 23, 2022
- 16
- 8
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingekuwa ni utoto kusingekuwa na classification ya miji.Binafsi sijafima hayo majiji yote mawili ila kitu nilichogundua behind hii mada kuna ukabila,mara nyingi nimeona watu wa Arusha wanapenda kujinasibu kuwa wao ni wajanja Zaid kitu ambacho hakina scientific proof,pili sijaona hoja za wazi kuwa Jiji hl lna kitu hk kuzd hl Zaid ya kutupiana mipasho,na mwisho wa siku hayo mambo ya wap n bora kuliko wapi huo ni utoto maana kuna watu wanaish vzur mwanza na wengne Arusha pia,so ni bora mtupe fursa za biashara zinazoweza kufanyika kati ya hayo majiji mawili kuliko kuimbiana taarabu hapa
Sasa mkuu kuna jambo gani la msingi unalofaidika nalo kupitia huu ubishaniIngekuwa ni utoto kusingekuwa na classification ya miji.
Unapokunywa pombe hadi unalewa unafaidika na nini?Sasa mkuu kuna jambo gani la msingi unalofaidika nalo kupitia huu ubishani
Sijawai tumia pombe mkuu labda ulitaka kumaanisha nini hasa?Unapokunywa pombe hadi unalewa unafaidika na nini?
Hapo kigoto kirumba mwaloniMwanza those days
View attachment 2248210
Kulinganisha na miji ipi?Yote miji mibovu….Case closed
Chaka la Mwanza South, kati ya Mwanza South port na kiwanda cha samaki bahari bountyHapo kigoto kirumba mwaloni