The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Tufunge mjadala hakuna battle hapa..Mikoa inayoongoza kwa kuwa na idadi kubwa zaidi ya majengo ya ghorofa #Tanzania kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi 2022 1. Dar es Salaam: 32,219 2. Arusha: 7,180 3. Tanga: 4,282 4. Kilimanjaro: 3,540 5. Mwanza: 2,481
Tuanzishe Mwanza vs Mbeya naona kwa Arusha ni kuionea Mwanza 😜😜