Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

We si unataka jengo Moja Moja [emoji91][emoji91][emoji116]
1671024699067.jpg
1663422824439.jpg
1662484167644.jpg
 
Public facilities
Tunaanza na bridges and flyover
[emoji116][emoji116]
1666198182831.jpg
e6999e362e86c3a162c9172973a42abe.jpg
20221017_094814.jpg
20221114_204246.jpg
20221114_204422.jpg
 
Waskuma mna shida sana. Nyie kaeni kwa kutulia tu. Nyie sio watu wa mjini na hamuwezi kuitwa watu wa mjini kamwe. Ukishatamka unatoka mwanza tu, unatolewa vyeo vyote. Unaonekana mlugaluga, mshamba. Wakufunzwa.
Acha wenge la bangi na mirungi basi kama huna Cha kuandika Kaa kimya. Arusha mna ujanja Gani acha kutushobikea bhana. Kwanza ndo mbwa wetu mnaolinda nyumba zetu. Dada zenu ni bar maids kila Kona wanafanya kubadilishwa kila mwezi acha utahira unless kama nabishana na juha au pwagu pro max.
 
Wataanza kusema hii ni michoro na sio picha halisi, nami nawaambia hapo sio zurich bali ni Mwanza, Tanzania[emoji7][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173]
Bro mi Nalala endelea kumalizia kuwachinja maana wanakata roho [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Hizi umenda mbali sana umezidi ata dose ya kawaida hii ni lethal dose si size yao hii, nawaombea msamaha uwapunguzie dose.
Sasa mnataka arusha kue na daraja la kuvuka wapi?
 
Ukiangalia mwanza utagundua hivyo vighorofa uchwara ni vya juzi tena enzi za mwendazake, ndio maana wana wenge sana, hawajazoea yani. Mi naogopa Arusha wakija wenyewe hasa wale. Mwanza will be pulverised, mwanza jamani mjivunie kuzaliana tu. Mambo ya urbanisation, class, waachieni Arusha. Hakuna mtu anawawaza mwanza yani. Kaleni mapanki sasa. Mmeshindwa kupangua report ya NBS kuhusu idadi ya maghorofa, mmeshindwa kupangua list ya maghorofa marefu Tanzania, mpompo tu. Embu tafuteni ligi na Singida au iringa. By the way mji wa moshi umewazidi pia. Pua, pua.
Tayari umeanza kulia lia
 
Mikdde hawana vitu hao wameishiwa, naona wameweka ka mall kao, wamalize na rock city mall, then nenda houses za bwiru, nyasaka, mwanchi, isamilo, capripoint tumalize mpira kwa ushindi mnono.
Ware house ile
 
Acha kuremba lugha iyo ni footbridge hapa Dar ziko kibao na shangaa iyo moja hapo mwanza inavyowasumbua
Unatafuta excuse...hapa sio mwanza vs dar ....,,,kiherehere chote kwishney
Makongoro avenue 10 km [emoji116]
0b626c71899cf3c17750891d963c0f82.jpg
JamiiForums2002904376.jpg
JamiiForums880658872.jpg
JamiiForums-1364865567_1.jpg
JamiiForums1493165968.jpg
1662484320148.jpg
 

Attachments

  • JamiiForums548975812_1.jpg
    JamiiForums548975812_1.jpg
    77.4 KB · Views: 6
Hata dodoma ni kiboko kuna mabuyu zabibu karanga nk mndobishana hamjitambui ila kila mkoa unasifa yake, navyo juwa kwenye wazungu wengi ndiyo pazuri ukibisha shauri yako.
 
Back
Top Bottom