Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,200
- 5,879
Hili jengo liko wapiView attachment 2468286
Mall Yao inaumbwa sawa na jengo hili la mikutano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili jengo liko wapiView attachment 2468286
Mall Yao inaumbwa sawa na jengo hili la mikutano
Sunk ni ndumilakuwili huwa anaikubali sana Mwanza, kama ulifatilia uzi wa dar vs Nairobi alipost picha za Mwanza akaandika kama kuna mji mzuri kama Mwanza huko kunyaland nileteeni😂😂😂😂Yule falla the sunk kawapoteza wenzio, pagwu Naye haonekani
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kweli haeleweki huyu.Sunk ni ndumilakuwili huwa anaikubali sana Mwanza, kama ulifatilia uzi wa dar vs Nairobi alipost picha za Mwanza akaandika kama kuna mji mzuri kama Mwanza huko kunyaland nileteeni😂😂😂😂
Nyakato mkuuHili jengo liko wapi
Ndivyo ilivyo ukiona unamzungumzia sana demu iwe Kwa uzuri au Kwa ubaya uje ushwahi kumpenda ...huwezi kaa unadis ex ambaye humpendi ..[emoji28]Sunk ni ndumilakuwili huwa anaikubali sana Mwanza, kama ulifatilia uzi wa dar vs Nairobi alipost picha za Mwanza akaandika kama kuna mji mzuri kama Mwanza huko kunyaland nileteeni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lipo nyakato national karibu na mnadani watu wanasema ni la mzee mizengo peter pinda.Hili jengo liko wapi
Linajengwa au Tayari lishajengwaNyakato mkuu
La kanisa la sabatoLipo nyakato national karibu na mnadani watu wanasema ni la mzee mizengo peter pinda.
Ni fala sana huyu jamaa anapenda kufurahisha gang tu.🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kweli haeleweki huyu.
Litatumika kakaLinajengwa au Tayari lishajengwa
Noma sana ..inabidi nipite hayo maeneo...nijioneeLitatumika kaka
Ndio maana huwa siamn sana rumours ni bora umenambia asee.La kanisa la sabato
Na kizuri lazima kisemwe.Ndivyo ilivyo ukiona unamzungumzia sana demu iwe Kwa uzuri au Kwa ubaya uje ushwahi kumpenda ...huwezi kaa unadis ex ambaye humpendi ..[emoji28]
,[emoji28][emoji28][emoji75]Nilitaka nilete maeneo ya Bata tu ila nikasema pale kwao Kuna kwamrombo, matako bar(mianzini) na kaloleli. Mambo ya beach watabaki kunishangaa tu
Hii battle imeisha, natamani battle ya Mwanza vs kampala au kigali, japo mombasa ipo juu kidogo ya mwanza, na kigali wana barabara clean sana n zipo poa sana kuliko za Mwanza.Nilitaka nilete maeneo ya Bata tu ila nikasema pale kwao Kuna kwamrombo, matako bar(mianzini) na kaloleli. Mambo ya beach watabaki kunishangaa tu
Hayahayaaya makolo wa mwanza ishini na hiyo 🤣🤣🤣
Hujaulizwa ufafanuzi. Mpo wengi kama nzi lakini, 'in steve nyerere' s voice- PUA PUA PUA'🤣 🤣 🤣Mapato ya utalii plus biashara za arusha na mengineyo ndio unakuja mbio mbio kujisifu, unafurahi mapato ya utalii kutokufika ata trillion moja, Mwanza haina utalii lakini inakusanya karibia bilion 250, nyie na Kilimanjaro kwenye utalii bado mnachechemea na hayo mapato kiduchu.
Sema majitu ya mwanza ata tuliosoma nao shule yalikuwa mabishiii, mazito kuelewa, yani makompliketa mpaka kwenye maisha. Siwashangai. Arusha na Dar ndio majiji. Nyie ni watu wa bush, mji mkubwa jinga.Mapato ya utalii plus biashara za arusha na mengineyo ndio unakuja mbio mbio kujisifu, unafurahi mapato ya utalii kutokufika ata trillion moja, Mwanza haina utalii lakini inakusanya karibia bilion 250, nyie na Kilimanjaro kwenye utalii bado mnachechemea na hayo mapato kiduchu.