Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Majiji Tanzania in descending order.
1. Dar es Salaam
2.Arusha
Haya ndio majiji proper kwa hadhi za kimataifa. Yenye kila kitu kinacholifanya jiji kuwa la kimataifa. Haya yanayofata ni upcoming. Yaliharakishwa kisiasa tu. Mwanza ni idadi kubwa tu ya watu ndio inawaweka hapo, lakini haiwezi ku accomodate delegation ya rais wala hakuna kiongozi wa Developed country amewahi kwenda na kulala mwanza, sababu zipo wazi. Pia eneo la jiji wamechukuwa wilaya ambazo kimsingi hazikupaswa ata kuingizwa pale.


3. Dodoma
4. Mwanza
5. Tanga
6. Mbeya
Ongea yote .ila mwisho wenu ni hapa[emoji116]
 
Majiji Tanzania in descending order.
1. Dar es Salaam
2.Arusha
Haya ndio majiji proper kwa hadhi za kimataifa. Yenye kila kitu kinacholifanya jiji kuwa la kimataifa. Haya yanayofata ni upcoming. Yaliharakishwa kisiasa tu. Mwanza ni idadi kubwa tu ya watu ndio inawaweka hapo, lakini haiwezi ku accomodate delegation ya rais wala hakuna kiongozi wa Developed country amewahi kwenda na kulala mwanza, sababu zipo wazi. Pia eneo la jiji wamechukuwa wilaya ambazo kimsingi hazikupaswa ata kuingizwa pale.


3. Dodoma
4. Mwanza
5. Tanga
6. Mbeya
Ngoja nirekebishe list yako[emoji28]
1. Dar es salaam
2. Mwanza
3. Stone town, Zanzibar
4. Arusha
5. Dodoma
6. Tanga
7. Mbeya
 
Ngoja nirekebishe list yako[emoji28]
1. Dar es salaam
2. Mwanza
3. Stone town, Zanzibar
4. Arusha
5. Dodoma
6. Tanga
7. Mbeya
Haha, niliisahau zanzibar, ipo baada ya Arusha, mwanza itakuwa ya 4 au sio? Ndio maana ata kwa umaarufu duniani imeingia zanzibar na arusha ila sio big village waliolala.
 
Haha, niliisahau zanzibar, ipo baada ya Arusha, mwanza itakuwa ya 4 au sio? Ndio maana ata kwa umaarufu duniani imeingia zanzibar na arusha ila sio big village waliolala.
[emoji91][emoji91]
dalali_peter_mwanzatz_275826777_132340859323678_2044777656735175839_n.webp.jpg
 
Nimesoma comment zako .unaonekana ni mtu usiyejua kujenga hoja na hauna logic yoyote zaidi ya kubwabwaja na kutafuta attention and popurality ..ila you're nothing ...
Mapato ya kikodi hayareflect direct economic situation ya eneo husika ...hasa lazima auangalie ni ipi source ya hayo mapato ....
Arusha Ina idadi kubwa ya hotel na tourist agency ambao wanatozwa kiwango kikubwa Cha Kodi .VAT pamoja na direct tax ....the same applies Kwa Kilimanjaro ambao wana KIA na kINPA .
vyanzo vikubwa vya mapato arusha na Kilimanjaro ni hivi[emoji116]
1 .ngorongoro conservation
2 . TANAPA
3 . hotels
4.tourist agency and corps
5.kIA
6 Mount Kilimanjaro
7.AICC
hayo mashirika yanatoa kiwango kikubwa Cha Kodi ...
unfortunately biashara sio source kubwa ya mapato arusha ukilinganisha na mwanza au dar .hivyo mapato ya arusha yamekuwa sourced na mashirika na yamebebwa na hizo taasisi na sio watu ..
Nakukubali sana Mtu wangu kwanza Huna papala, pili unajenga hoja, tatu unamsoma mtu kwanza be4 hujamjibu nmejikuta kila nikiingia JamiiForums lazima nipitie comment yako ili nipanue uelewa zaidi
 
Nakukubali sana Mtu wangu kwanza Huna papala, pili unajenga hoja, tatu unamsoma mtu kwanza be4 hujamjibu nmejikuta kila nikiingia JamiiForums lazima nipitie comment yako ili nipanue uelewa zaidi
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]na appreciate pia mchango wako mkuu .
 
Nakukubali sana Mtu wangu kwanza Huna papala, pili unajenga hoja, tatu unamsoma mtu kwanza be4 hujamjibu nmejikuta kila nikiingia JamiiForums lazima nipitie comment yako ili nipanue uelewa zaidi
Papala🤣🤣
 
Kawaida tu kama Arusha
Mmezidiwa majengo, angalia density ya majengo na hapo ni kasehemu tu, kitakwimu kikila kitu.

Huu mjadala ufungwe tu waskuma nyie mnachoweza kuuana na kujiua kisa mapenzi na uchawi. Mengine waachieni watoto wa mjini Dar na Arusha.
 
Mmezidiwa majengo, angalia density ya majengo na hapo ni kasehemu tu, kitakwimu kikila kitu.

Huu mjadala ufungwe tu waskuma nyie mnachoweza kuuana na kujiua kisa mapenzi na uchawi. Mengine waachieni watoto wa mjini Dar na Arusha.

Before sijafika Arusha story kibao nlizisikia but nlipotia mguu wangu, ipo overrated sanaa
 
Back
Top Bottom