Bata lipo mwanza mkuu, sehemu za bat kama zote. Ukitoa kwa mrombo, kaloleni na sehemu zingine chache maeneo ya kulia Bata yako wapi kakaHuu mtifuano hauwezi kuisha maana ninyi machalii wa mwanza bado sana kuijua dunia tokeni uko ziwani njooni duniani muone watu wanavyokula bata