Cha asubuhi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2017
- 1,549
- 2,279
Kazi na dawa
Wakiona hizi fukwe mashetani yanapanda[emoji3]
Wakiona hizi fukwe mashetani yanapanda[emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kukataa tu kutuma picha wameshakubali ukweli, nani angekubali kuendelea kutuma picha za mji wao wakati Kila picha nzuri wanaojaribu kutuma inaonekana poor ukilinganisha na Mwanza[emoji28][emoji28]Kila kitu tumewazidi hakuna kitu ambacho kipo arusha Mwanza hamna, lkn kuna vitu vingi vipo Mwanza lkn Arusha havipo hili hawataki kukubali, kutwa nzima wamekalia watu wa mwanza washamba, ukiwauliza ushamba wao ni nini hawana majibu, hawa watu vichwani kuna shida.
Hakuna mtu yeyote kutoka mwanza anaweza kunieleza kitu,SI unit, yani kipimo cha washamba. Nyie fanyenu battle na singida, kahama huko. Miji ya kimataifa achaneni nayo. Eti mwanza kwanza ni aibu ata kutaja ujanja na mwanza na ujanja kwenye sentensi moja. Hakuna battle tusisumbane, nipo arusha pyramids kama unapajua malofa nyie mashamba hamtuwezi kwa lolote. Yani kwa lolote.Achana na wasukuma wengine ambao hauwajui battle na mimi msukuma
Mimi nakuzidi wewe kila kitu[emoji16] yaaani kila kitu
Ninauwezo wa kulisha familia yenu yote [emoji1]
Ungejua tunawadharau tunawaona hamna akili, eti moyoni. Shamba city bana. Watu wamewapuuza tu. Maana mnaonekana malimbukeni na vipicha picha 🤣🤣Kwa kukataa tu kutuma picha wameshakubali ukweli, nani angekubali kuendelea kutuma picha za mji wao wakati Kila picha nzuri wanaojaribu kutuma inaonekana poor ukilinganisha na Mwanza[emoji28][emoji28]
Sio lazima wajioneshe hapa, ila moyoni wameshaelewa. Hope hawatorudia tena [emoji1787][emoji1787]
Lete picha wewe, maneno ya nini??Afu Arusha kuna watoto wa mwanza kibao hawataki kurudi tena shamba city. Hakuna swaga jiji kijiji.
Ako kaziwa ndio kanawapa kiburi ..imagine Arusha lidude likubwa namna hii hatuna bahari wala ziwa na haturingiMv Victoria bado baba Lao mv mwanza [emoji3][emoji3]
Mwanza kuna kila aina ya usafiri View attachment 2523609
Hahaha warudi wakawe wavuvi waache hali ya hewa nzuri namna hiiAfu Arusha kuna watoto wa mwanza kibao hawataki kurudi tena shamba city. Hakuna swaga jiji kijiji.
Yani picha eti ndio kigezo cha jiji kuwa zuri. Shamba city wanafeli sanaUngejua tunawadharau tunawaona hamna akili, eti moyoni. Shamba city bana. Watu wamewapuuza tu. Maana mnaonekana malimbukeni na vipicha picha 🤣🤣
Izi takataka mbona zimejaa nyingi huku chugastan asee au unataka picha 😀😀🤣Kazi na dawa
Wakiona hizi fukwe mashetani yanapanda[emoji3]View attachment 2523605View attachment 2523606
Nilishawaambia humu Arusha haiwezi kulinganishwa na Vijijini vya wavuvi na washamba.
Uzuri wa Arusha unaelewa vizuri hapa na Africa museums.
Atakayesikia Mwanza ikitajwa popote anitag nitampa 10,000 ya mb
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
View attachment 2520063View attachment 2520062View attachment 2520061
Ukubali tu huna cha kupost na 'utima' wako.Kama ulijua ni vya kitoto why umepiga kambi sasa kwa huu uzi na unajua huu uzi unasindikizwa na evidence za picha?Mimi ni mtu mtima sina muda wa hizo tabia za kitoto vya primary..
Huwezi kuta mtu na akili anashindanisha picha
Hotel za Wachaga kwanini wasizijenge huko kwao waje wajipendekeze kuzijenga Mwanza?Bila rock city mall kuna nini tena?au ni zile hotel zilizojengwa na wachaga?