Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 6,976
- 7,726
Nimekuja huku Toronto kusomea ukameraman, nitaendelea kufuatilia huu mtanange yaan bampa to bampa.Hakika ni majiran mim ni Vancouver
Lakini nyinyi watu wa Mwanza ni wa deadly kinoma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuja huku Toronto kusomea ukameraman, nitaendelea kufuatilia huu mtanange yaan bampa to bampa.Hakika ni majiran mim ni Vancouver
Chugga nzima hakuna hii[emoji95][emoji95][emoji95]View attachment 2524184
Hii mandhari safi sana cameraman mwenzangu.Ninazo picha za mikoa zaidi 21 kwenye simu yangu wala sio mjini tu[emoji1] View attachment 2524411
Nakula maisha nitakavyo [emoji1][emoji1] hapo magorofa yapo wapiVyovyote vile hakuna mtu mwenye kazi na akili timamu atafanya huo ujinga wa kuzunguka mjini na smartphone kutafuta magorofa ili aleta JF [emoji1787][emoji1787]
Vyovyote vile hakuna mtu mwenye kazi na akili timamu atafanya huo ujinga wa kuzunguka mjini na smartphone kutafuta magorofa ili aleta JF 🤣🤣Nakula maisha nitakavyo [emoji1][emoji1] hapo magorofa yapo wapi
Sinywi pombe,sivuti sigara wala bangi[emoji1][emoji1]..tafuta pisi moja kali nenda nayo sehemu tulivu kula maishaaa
Au nikupe na Jina langu la IG ili ukawatukane wazazi wako vizuri kwa kushindwa kukuwekea future nzuri[emoji1]
Yaaani wazazi wako waliteseka na wewe bado unateseka tu [emoji1][emoji1]View attachment 2524415
[emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji28]Hizo picha za Mwanza kuna maghorofa tu, acha ujinga na wivu, alafu hii battle mlivyoanzisha mlitaka tushindane kwa maneno bila picha?
Basi naanza Mwanza kuna kiwanda cha magari Tanzania nzima hamna
Mwanza kuna sport arena ya kubeba watu laki mbili nyie hamna.
Mwanza kuna barabara za njia nanenane arusha hamna
Mwanza kuna jengo la ghorofa mia mbili na zipo kama ishirini je nyie mnayo
Mwanza kuna barabara za mitaani mpaka uchochoroni
Mwanza ina gdp ya trillion 500 je nyie una uchumi kiasi gani?
Haya twende kazi kwa style hiyo ya bila picha na evidence ili watu ambao hawajafika Mwanza nao waamn.
[emoji1][emoji1] umeshindwa hata useme nini, mimi ni kijana mdogo sana ila nakula maisha kwa kweli[emoji3]Vyovyote vile hakuna mtu mwenye kazi na akili timamu atafanya huo ujinga wa kuzunguka mjini na smartphone kutafuta magorofa ili aleta JF [emoji1787][emoji1787]
Ingekuwa ipo mwanza au dar sasaaaKwaio parking ya hydraulic ndo ukaileta kama point [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Ndo ukaona hio parking ndo maisha
Vyovyote vile hakuna mtu mwenye kazi na akili timamu atafanya huo ujinga wa kuzunguka mjini na smartphone kutafuta magorofa ili aleta JF 🤣🤣[emoji1][emoji1] umeshindwa hata useme nini, mimi ni kijana mdogo sana ila nakula maisha kwa kweli[emoji3]
Mwanza kuna hydraulic parking kila mtaa, ujinga na ulimbukeni ndio unawasumbua.Ingekuwa ipo mwanza au dar sasaaa
Usinilaumu mimi kwa makosa ya wazazi wakoVyovyote vile hakuna mtu mwenye kazi na akili timamu atafanya huo ujinga wa kuzunguka mjini na smartphone kutafuta magorofa ili aleta JF [emoji1787][emoji1787]
Vyovyote vile hakuna mtu mwenye kazi na akili timamu atafanya huo ujinga wa kuzunguka mjini na smartphone kutafuta magorofa ili aleta JF 🤣🤣Usinilaumu mimi kwa makosa ya wazazi wako
Kwangu utachoka tu[emoji3]
Au nianze kutuma na videos ili nikumalizie hizo mb zako za jero ukalale uko uote unakimbizwa[emoji3]Vyovyote vile hakuna mtu mwenye kazi na akili timamu atafanya huo ujinga wa kuzunguka mjini na smartphone kutafuta magorofa ili aleta JF [emoji1787][emoji1787]
Vyovyote vile hakuna mtu mwenye kazi na akili timamu atafanya huo ujinga wa kuzunguka mjini na smartphone kutafuta magorofa ili aleta JF 🤣🤣Au nianze kutuma na videos ili nikumalizie hizo mb zako za jero ukalale uko uote unakimbizwa[emoji3]
Ngoja niende kwenye browser [emoji3]Vyovyote vile hakuna mtu mwenye kazi na akili timamu atafanya huo ujinga wa kuzunguka mjini na smartphone kutafuta magorofa ili aleta JF [emoji1787][emoji1787]
Vyovyote vile hakuna mtu mwenye kazi na akili timamu atafanya huo ujinga wa kuzunguka mjini na smartphone kutafuta magorofa ili aleta JF 🤣🤣Ngoja niende kwenye browser [emoji3]
Kama umeajiriwa ni kweli huwezi kuwa na huo muda maana Boss wako atakuwa anasubiri kazi alizokupangia siku hiyo uzimalize lakini kuna watu wamejiajiri na kuajiri wengine,hawa muda wanao mzuri tu maana ratiba zao ni za kujipangia wenyewe.Vyovyote vile hakuna mtu mwenye kazi na akili timamu atafanya huo ujinga wa kuzunguka mjini na smartphone kutafuta magorofa ili aleta JF [emoji1787][emoji1787]
Vyovyote vile hakuna mtu mwenye kazi na akili timamu atafanya huo ujinga wa kuzunguka mjini na smartphone kutafuta magorofa ili aleta JF 🤣🤣Kama umeajiriwa ni kweli huwezi kuwa na huo muda maana Boss wako atakuwa anasubiri kazi alizokupangia siku hiyo uzimalize lakini kuna watu wamejiajiri na kuajiri wengine,hawa muda wanao mzuri tu maana ratiba zao ni za kujipangia wenyewe.
Muhurumie kijana,ndiyo kwanza leo tar 20,bado ana kama siku 7 mbeleni,ili muamala wa mwisho wa mwezi usome [emoji3][emoji3]Au nianze kutuma na videos ili nikumalizie hizo mb zako za jero ukalale uko uote unakimbizwa[emoji3]
Mkuu pumzika sasa,naona hii mada inakuvuruga na bado umeng'ang'ana nayo wakati uwezo wa kuhimili huna.Vyovyote vile hakuna mtu mwenye kazi na akili timamu atafanya huo ujinga wa kuzunguka mjini na smartphone kutafuta magorofa ili aleta JF [emoji1787][emoji1787]