Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Vyovyote vile hakuna mtu mwenye kazi na akili timamu atafanya huo ujinga wa kuzunguka mjini na smartphone kutafuta magorofa ili aleta JF [emoji1787][emoji1787]
Nakula maisha nitakavyo [emoji1][emoji1] hapo magorofa yapo wapi

Sinywi pombe,sivuti sigara wala bangi[emoji1][emoji1]..tafuta pisi moja kali nenda nayo sehemu tulivu kula maishaaa

Au nikupe na Jina langu la IG ili ukawatukane wazazi wako vizuri kwa kushindwa kukuwekea future nzuri[emoji1]

Yaaani wazazi wako waliteseka na wewe bado unateseka tu [emoji1][emoji1]
Screenshot_20230220-215354_Gallery.jpg
 
Nakula maisha nitakavyo [emoji1][emoji1] hapo magorofa yapo wapi

Sinywi pombe,sivuti sigara wala bangi[emoji1][emoji1]..tafuta pisi moja kali nenda nayo sehemu tulivu kula maishaaa

Au nikupe na Jina langu la IG ili ukawatukane wazazi wako vizuri kwa kushindwa kukuwekea future nzuri[emoji1]

Yaaani wazazi wako waliteseka na wewe bado unateseka tu [emoji1][emoji1]View attachment 2524415
Vyovyote vile hakuna mtu mwenye kazi na akili timamu atafanya huo ujinga wa kuzunguka mjini na smartphone kutafuta magorofa ili aleta JF 🤣🤣
 
Hizo picha za Mwanza kuna maghorofa tu, acha ujinga na wivu, alafu hii battle mlivyoanzisha mlitaka tushindane kwa maneno bila picha?

Basi naanza Mwanza kuna kiwanda cha magari Tanzania nzima hamna
Mwanza kuna sport arena ya kubeba watu laki mbili nyie hamna.
Mwanza kuna barabara za njia nanenane arusha hamna
Mwanza kuna jengo la ghorofa mia mbili na zipo kama ishirini je nyie mnayo
Mwanza kuna barabara za mitaani mpaka uchochoroni
Mwanza ina gdp ya trillion 500 je nyie una uchumi kiasi gani?

Haya twende kazi kwa style hiyo ya bila picha na evidence ili watu ambao hawajafika Mwanza nao waamn.
[emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vyovyote vile hakuna mtu mwenye kazi na akili timamu atafanya huo ujinga wa kuzunguka mjini na smartphone kutafuta magorofa ili aleta JF [emoji1787][emoji1787]
[emoji1][emoji1] umeshindwa hata useme nini, mimi ni kijana mdogo sana ila nakula maisha kwa kweli[emoji3]
 
[emoji1][emoji1] umeshindwa hata useme nini, mimi ni kijana mdogo sana ila nakula maisha kwa kweli[emoji3]
Vyovyote vile hakuna mtu mwenye kazi na akili timamu atafanya huo ujinga wa kuzunguka mjini na smartphone kutafuta magorofa ili aleta JF 🤣🤣
 
Vyovyote vile hakuna mtu mwenye kazi na akili timamu atafanya huo ujinga wa kuzunguka mjini na smartphone kutafuta magorofa ili aleta JF [emoji1787][emoji1787]
Usinilaumu mimi kwa makosa ya wazazi wako

Kwangu utachoka tu[emoji3]
 
Au nianze kutuma na videos ili nikumalizie hizo mb zako za jero ukalale uko uote unakimbizwa[emoji3]
Vyovyote vile hakuna mtu mwenye kazi na akili timamu atafanya huo ujinga wa kuzunguka mjini na smartphone kutafuta magorofa ili aleta JF 🤣🤣
 
Vyovyote vile hakuna mtu mwenye kazi na akili timamu atafanya huo ujinga wa kuzunguka mjini na smartphone kutafuta magorofa ili aleta JF [emoji1787][emoji1787]
Ngoja niende kwenye browser [emoji3]
 
Vyovyote vile hakuna mtu mwenye kazi na akili timamu atafanya huo ujinga wa kuzunguka mjini na smartphone kutafuta magorofa ili aleta JF [emoji1787][emoji1787]
Kama umeajiriwa ni kweli huwezi kuwa na huo muda maana Boss wako atakuwa anasubiri kazi alizokupangia siku hiyo uzimalize lakini kuna watu wamejiajiri na kuajiri wengine,hawa muda wanao mzuri tu maana ratiba zao ni za kujipangia wenyewe.
 
Kama umeajiriwa ni kweli huwezi kuwa na huo muda maana Boss wako atakuwa anasubiri kazi alizokupangia siku hiyo uzimalize lakini kuna watu wamejiajiri na kuajiri wengine,hawa muda wanao mzuri tu maana ratiba zao ni za kujipangia wenyewe.
Vyovyote vile hakuna mtu mwenye kazi na akili timamu atafanya huo ujinga wa kuzunguka mjini na smartphone kutafuta magorofa ili aleta JF 🤣🤣
 
Au nianze kutuma na videos ili nikumalizie hizo mb zako za jero ukalale uko uote unakimbizwa[emoji3]
Muhurumie kijana,ndiyo kwanza leo tar 20,bado ana kama siku 7 mbeleni,ili muamala wa mwisho wa mwezi usome [emoji3][emoji3]
 
Vyovyote vile hakuna mtu mwenye kazi na akili timamu atafanya huo ujinga wa kuzunguka mjini na smartphone kutafuta magorofa ili aleta JF [emoji1787][emoji1787]
Mkuu pumzika sasa,naona hii mada inakuvuruga na bado umeng'ang'ana nayo wakati uwezo wa kuhimili huna.
 
Back
Top Bottom