shabanmbarak
JF-Expert Member
- Aug 17, 2022
- 1,178
- 1,150
MwehuWapo kila mahali hao ata nyakanazi, tandahimba utawakuta, hiyo sio issue.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MwehuWapo kila mahali hao ata nyakanazi, tandahimba utawakuta, hiyo sio issue.
Kabishane na TAAUnatia huruma sana. Hivi unajua tourism industry ya bongo jinsi ilivyooota mizizi arusha? Southern circuit yenyewe tour operators ni wa arusha, na ata huko mwanza watakuja, hakuna kima mwanza anaweza shindana na hospitality ya Arusha.
Mpka mfe na kihoro [emoji23]Tuna kila kitu kasoro ofisi za ushamba. Hizo mwanza zipo sana.
Ila hawajiiti wachaga wanajiita wasukuma, wakurya, wahaya, wahangaza na makabila meng ya lake zone. Na saiv December hawarudi migomban city usweken republic [emoji41]Wapo kila mahali hao ata nyakanazi, tandahimba utawakuta, hiyo sio issue.
Wew ni mwehu uganda, kenya ni unga LIMITED [emoji23][emoji23][emoji23].Mlima mnao? Bandari tunatumia ya tanga au dar yenu haina msaada kwanza haina connection na nchi za nje, ya nini labda?
Bado mbeya na tanga.Nimeweka hakuna aliecomment mmeingia mitini. Mpaka mkaanza kuleta za nchi za watu, hivi shamba city nani anawajaza maji kichwani? Nyie mpo wengi tu ila hakuna lolote mnaizidi Arusha zaidi ya population, dodoma inawazidi kwa urbanisation.
Kama wadada wa Arusha huwa wana akili kama zako ni tatizo sana kwa waume zao.Nimeshusha au mpaka uelekezwe namna ya kufungua kizebwere wa kiskuma🤣
Hakuna msukuma akatamani kuja huko, Arusha kuna mishe gani za pesa zaidi ya kubeba mizigo ya wanaume wa kizungu na kushikwa kalio.Sasa mbona mukizidiwa minaishia kutukana. Eti kwanini waskuma wakija Town hawataki kurudi kwao shamba?
Acha kutetema we leta vitu tuone, et unaijua Mwanza, Mwanza haijawahi kukaliwa na mazwazwa kama wewe.Tunawaonea huruma wanajikutakuta yani. Wangejua tuna vitu, na mdomo na matusi ndio balaa zaidi. Chezea watoto wa town. Yani hao mwanza kila kitu kwao ni kigeni ndio maana kutwa picha, mi nawawekeaga moja kwa kubeep ila kila nikiweka wanapoteana🤣🤣 wazungu wanasema dumbstruck. Kwa akili yao wanadhani kuna mtu nje ya mwanza anapaona pa kijanja. Wajipe moyo na wakithubutu natoa makombora, kuna kizebwere kimeweka picha za Freetown, Sierra Leone kakadhani sisi washamba wenzao hatuijui mwanza.
Hao ni wasukuma wa south sudan.Wakagundue nini labda? 🤣🤣
Kama wewe ni mpumbavu Baki hivyo hivyo na upumbavu wako sio jukumu langu maana matokeo ya sensa yapo na wewe unajua.Leta takwimu zako tuzione.
Diplomacy City in the making,
Ulienda shule kukua au kukuza ndevu na mavuzi? Soma Utajua ni kitu gani.Mbona unaweka vitu visivyo na kichwa wala miguu, hiki ndio nini?
Hawana exposure hao.Town ndo arusha acha utani basi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Njoo uone wakina kimaro walivyoweng huku
Hii ndio kiboko yako ina thamani sawa na cbd yote ya Arusha😂😂😂Mpka mfe na kihoro [emoji23]View attachment 2539083
Nilienda kukuza mjegejo, naona kila siku zinavyoenda na akili yako inazidi kupungua.Ulienda shule kukua au kukuza ndevu na mavuzi? Soma Utajua ni kitu gani.
Chuga Boy gani wewe umejaa taarabu kama wadada wa Tandika? Weka picha hizo ngonjera zako unakaa unarudia rudia hazina maana.Nimeweka hakuna aliecomment mmeingia mitini. Mpaka mkaanza kuleta za nchi za watu, hivi shamba city nani anawajaza maji kichwani? Nyie mpo wengi tu ila hakuna lolote mnaizidi Arusha zaidi ya population, dodoma inawazidi kwa urbanisation.
Kama kuna kitu huwa inataka kuwatoa roho ni hili daraja [emoji23][emoji23][emoji23]Mpka mfe na kihoro [emoji23]View attachment 2539083