Pamepauka siyo poaJiji la mighorofaView attachment 2560222
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamepauka siyo poaJiji la mighorofaView attachment 2560222
NdioHizi ni barabara?
Kwamba mwanza mna barabara nzuri kuzid arushaPamepauka siyo poa
Chuga ni noma sana linapokuja suala la highrises ni second to DarJiji la mighorofaView attachment 2560222
Wewe unadhani hao Watalii wanapenda Moshi? 😆😆
Kichwa yako Ina vumbi wewe. Unajipendekeza mno, wanaenda kutalii vibanda vya kimasai.Wewe unadhani hao Watalii wanapenda Moshi? 😆😆
Acha makasiriko ukipigwa spana 😜😜Kichwa yako Ina vumbi wewe. Unajipendekeza mno, wanaenda kutalii vibanda vya kimasai.
Arusha wanaiibia Moshi. Hawafanyi poa ila Hilo ni andiko na maandiko yapo kila mkoa na ka halmashauriMwanza msijisahaulishe,ujenzi wa Kilimanjaro international Convention Centre unaweza kuanza wakati wowote.View attachment 2561000
Sijawahi kukasirika kwasababu najua unajitoa tu ufahamu ila ukweli unao.Acha makasiriko ukipigwa spana 😜😜
Wanaiba nini Sasa? Cargo plane inayokuja imeandikwa Lake Tanganyika Kwa hiyo anaibiwa nani?Arusha wanaiibia Moshi. Hawafanyi poa ila Hilo ni andiko na maandiko yapo kila mkoa na ka halmashauri
Ukweli upi Sasa wewe koloSijawahi kukasirika kwasababu najua unajitoa tu ufahamu ila ukweli unao.
Kama haujui Rudi shule kasome Tena, na kama hujasoma Kuna haja Gani ya kubishana na sisi😂😂Ukweli upi Sasa wewe kolo
Kiwanda Cha ivory pipi..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukweli upi Sasa wewe kolo
Waweke tu mizani tupimie marobota yetu ya pamba.Kiwanda Cha ivory pipi..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2561046
Sent using Jamii Forums mobile app