Kulikuwa na upendeleo upi we chizi?.Kasi Ile Ile iliyotumika elsewhere ndio itatumika na huko Mwanza..
Wachukie Kwa Ajili ya nini? Kilichoondolewa ni upendeleo uliokuwepo .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kulikuwa na upendeleo upi we chizi?.Kasi Ile Ile iliyotumika elsewhere ndio itatumika na huko Mwanza..
Wachukie Kwa Ajili ya nini? Kilichoondolewa ni upendeleo uliokuwepo .
Tumia akili basi mwananjombe.Ya Mwanza sio muhimu kuliko ya Arusha au Dodoma
Watapakia kuku wa MOROGORO na SALANDA.Arusha kuna umuhimu gani wakati kuna KIA, na hapo Dodoma kuna umuhimu gani wakati kuna JNIA, au Dodoma ndege za kimataifa zitakuwa ni za nchi gani au wageni kutoka wapi au ni wabunge?
Siwez lala bila kuwapa hii [emoji116]
Hapo kwa mwanza ni Sengerema
Wapi ambako ujenzi haufanyiki au mnajifariji tu.Sasaivi Jiwe ameenda zake sasa mkoa kama Arusha ujenzi umerudi kwa kasi
Hapo mbona naona gorofa 3 pamezidiwa mbali sana na nyegezHahaha so poa A townView attachment 2570964
Ata Mwanza kuna project kibao tuSasaivi Jiwe ameenda zake sasa mkoa kama Arusha ujenzi umerudi kwa kasi
Kweli zombie upo sahihi
Porojo bila picha ni upuuziSasaivi Jiwe ameenda zake sasa mkoa kama Arusha ujenzi umerudi kwa kasi
Hahaha Jana nilikua igogo pale nliivuta bang za kuzid now nipo masaki Ila pasaka narud Tena rock city ila naingia mecco kwa bimkubwa kwanza alaf mida ya jion tunza mpk saa moja usiku naingia cask mpk mida ya popo Alf namalzia galaxyBangi mbichi hizi
Hakika unavuta bangi ukiwa uchi na ukiwa umekaa kwenye ungo.Hahaha Jana nilikua igogo pale nliivuta bang za kuzid now nipo masaki Ila pasaka narud Tena rock city ila naingia mecco kwa bimkubwa kwanza alaf mida ya jion tunza mpk saa moja usiku naingia cask mpk mida ya popo Alf namalzia galaxy
Sasa kasi ya Arusha ujenzi uko moto na uwekezaji ni mkubwa tofauti ya mwanzaWapi ambako ujenzi haufanyiki au mnajifariji tu.
Ilo jengo ni ghorofa 3? Au unajitoa ufahamuHapo mbona naona gorofa 3 pamezidiwa mbali sana na nyegez