Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Mji wa Mwanza unanijenga wenyewe na kwa kiasi kikubwa hakuna mkono sana wa serikali lakini bado inaipita Arusha kwa mbali.

Arusha inapata sana ufadhiri wa serikali kwa kisingizio ama kisa kuna utalii ndo utakuta kodi yetu nyingi inapelekwa Arusha, majumba makubwa ya kifahari, mahoteli na kumbi nyingi zinakimbizwa kule Ili uonekane mkubwa na umejengeka lakini Mwanza in

Mji wa Mwanza unanijenga wenyewe na kwa kiasi kikubwa hakuna mkono sana wa serikali lakini bado inaipita Arusha kwa mbali.

Arusha inapata sana ufadhiri wa serikali kwa kisingizio ama kisa kuna utalii ndo utakuta kodi yetu nyingi inapelekwa Arusha, majumba makubwa ya kifahari, mahoteli na kumbi nyingi zinakimbizwa kule Ili uonekane mkubwa na umejengeka lakini Mwanza inajitegemea na inakua sana sana.
Pumba ya mwaka
 
Mna barabara safi na zisizo na foleni Kitombile
IMG_1743.jpeg
 
Pumba ya mwaka
Kumbe mtu mwenyewe wa hivyo! Na una harufu za ukanda na ukabila kwa kitupi kabisi una ka ubaguzi. Mtu kama wewe huwa hanipotezeagi mda wangu, wewe mwenye kujua sana endelea na thread mkuu
 
Kumekuwa na sintofahamu kati ya Majiji haya mawaili yanatotikisa Tanzania ukiachilia Dar.

Majiji haya yamezua gumzo miongoni mwa watu kwa kujaribu kuyashindanisha lakini pamoja na kuyashindanisha kote bado watu hawajapata jibu la moja kwa moja kwamba ni mji gani mzuri na una fursa kubwa za kimaisha kuliko mwingine pamoja na ukuaji wa maendeleo.

Karibuni mchangie
Mashindano yapi wakati jiji la Mwanza limebakia na slums kibao wakati Arusha wakihimarika kama jiji?
 
uKitaka kujua mwanza kubwa angalia kila siku ni watu kiasi gani huingia mwanza ni tofauti na arusha maana kanda ya ziwa karibia yote inategemea mwanza kwa asilimia 68% ambapo ni tofauti na arusha
 
Mji wa Mwanza unanijenga wenyewe na kwa kiasi kikubwa hakuna mkono sana wa serikali lakini bado inaipita Arusha kwa mbali.

Arusha inapata sana ufadhiri wa serikali kwa kisingizio ama kisa kuna utalii ndo utakuta kodi yetu nyingi inapelekwa Arusha, majumba makubwa ya kifahari, mahoteli na kumbi nyingi zinakimbizwa kule Ili uonekane mkubwa na umejengeka lakini Mwanza inajitegemea na inakua sana sana.
Arusha hii hii ambayo haina stendi ndio inapendelewa lakini mwanza yenye stendi mbili mpya, daraja la jpm na sgr inajijenga yenyewe sio nyie watu wa ziwani mnashida sana
 
Back
Top Bottom