uimara wa Young Africans unaanzia kwa watu watatu, Djigui Diara, Ibrahim Bacca, Khaleed Aucho, sifa za hawa jamaa huwa ni rahisi kusahihisha makosa ya wenzao pale wanapokesa, kitu kingine Aziz Ki uwepo wake uwanjani kunafanya timu iwe na faida kwa kuwa ana uwezo wa kufunga kwa mipira iliyokufa, anaweza kufunga kwa open space, tukija kwa Pacome huyu ni kiungo mshambuliaji ambaye kwa miaka mingi Young Africans hawakuwahi kuwa nae, huyu Pacome sifa yake kuu ni mchezaji anayenyumbulika pindi awapo uwanjani huwezi jua kuwa anacheza namba ipi, ana uwezo wa kukaba, ana uwezo wa kutengeneza nafasi na ana uwezo wa kufunga pia, kwa hiyo kwa mtazamo wangu kila mmoja ni bora kulingana na majukumu yake yanamtaka afanye vitu gani? VIVA Young La Africans, from Qurter final to Semi Final CAF Champion League. PAMOJA TUNAWEZA