Battle: Pacome Zouzoua vs Aziz Ki nani ni engine ya Yanga?

Yanga inakosea sana kucheza ligi kuu ya Tanzania
Uzuri wa Yanga ina wachezaji wa kila aina ya mashindano, kuna wachezaji wa CAF, kuna wachezaji wa NBC Premier league, kuna wa chezaji wa Azam Sports Federation Cup, kuna wachezaji wa friendly matches pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…