trojan92
Member
- May 18, 2024
- 91
- 276
Hii ni list kuonyesha namna Tanzania iko mbali sana tuu
Hii hapa list namba 7 na 8 zitakushangaza
1. TZ tuna Iconic figure wa Africa Nyerere🇹🇿
2. Best and longest SGR in Africa ipo Tz 🇹🇿
3. Lugha ya Kiswahili ni ya Tz 🇹🇿 na inazungumzwa Africa na dunia kote
4. Mlima mrefu kuliko yote Africa Kilimanjaro the Peak of Afrika ipo Tz 🇹🇿
5. Tanzania ndio nchi yenye watu wakarimu mno kuliko majirani
6. Tanzania kuna n best artist kama Diamond, Zuchu sukuari ya majirani, Harmonize, Alikiba, Mboso nk
7. Msisahau Tz 🇹🇿 hatulock down wakati wa covid na life ilisongo
8. Watoto wazuri bwana wako bongo tz 🇹🇿. Wadada wazuri balaa majirani kazi kumezea mate tu
8. Best beach ipo Tz 🇹🇿 nenda. Dar es Salaam coco beach na huko Zanzibar ni kuzuri ajabu
9. Tz 🇹🇿 tuna mbuga nzuri mno kama Serengeti, Arusha, Manyara, Ruaha nk
10. Mengine mengiiii mnayajua majirani
Leteni ya kwenu majirani tuone mkishinda hii battle
Tz 3 __majirani 00
Hii hapa list namba 7 na 8 zitakushangaza
1. TZ tuna Iconic figure wa Africa Nyerere🇹🇿
2. Best and longest SGR in Africa ipo Tz 🇹🇿
3. Lugha ya Kiswahili ni ya Tz 🇹🇿 na inazungumzwa Africa na dunia kote
4. Mlima mrefu kuliko yote Africa Kilimanjaro the Peak of Afrika ipo Tz 🇹🇿
5. Tanzania ndio nchi yenye watu wakarimu mno kuliko majirani
6. Tanzania kuna n best artist kama Diamond, Zuchu sukuari ya majirani, Harmonize, Alikiba, Mboso nk
7. Msisahau Tz 🇹🇿 hatulock down wakati wa covid na life ilisongo
8. Watoto wazuri bwana wako bongo tz 🇹🇿. Wadada wazuri balaa majirani kazi kumezea mate tu
8. Best beach ipo Tz 🇹🇿 nenda. Dar es Salaam coco beach na huko Zanzibar ni kuzuri ajabu
9. Tz 🇹🇿 tuna mbuga nzuri mno kama Serengeti, Arusha, Manyara, Ruaha nk
10. Mengine mengiiii mnayajua majirani
Leteni ya kwenu majirani tuone mkishinda hii battle
Tz 3 __majirani 00