trojan92
Member
- May 18, 2024
- 91
- 276
Hii ni list kuonyesha namna Tanzania iko mbali sana tuu
Hii hapa list namba 7 na 8 zitakushangaza
1. TZ tuna Iconic figure wa Africa Nyerere๐น๐ฟ
2. Best and longest SGR in Africa ipo Tz ๐น๐ฟ
3. Lugha ya Kiswahili ni ya Tz ๐น๐ฟ na inazungumzwa Africa na dunia kote
4. Mlima mrefu kuliko yote Africa Kilimanjaro the Peak of Afrika ipo Tz ๐น๐ฟ
5. Tanzania ndio nchi yenye watu wakarimu mno kuliko majirani
6. Tanzania kuna n best artist kama Diamond, Zuchu sukuari ya majirani, Harmonize, Alikiba, Mboso nk
7. Msisahau Tz ๐น๐ฟ hatulock down wakati wa covid na life ilisongo
8. Watoto wazuri bwana wako bongo tz ๐น๐ฟ. Wadada wazuri balaa majirani kazi kumezea mate tu
8. Best beach ipo Tz ๐น๐ฟ nenda. Dar es Salaam coco beach na huko Zanzibar ni kuzuri ajabu
9. Tz ๐น๐ฟ tuna mbuga nzuri mno kama Serengeti, Arusha, Manyara, Ruaha nk
10. Mengine mengiiii mnayajua majirani
Leteni ya kwenu majirani tuone mkishinda hii battle
Tz 3 __majirani 00
Hii hapa list namba 7 na 8 zitakushangaza
1. TZ tuna Iconic figure wa Africa Nyerere๐น๐ฟ
2. Best and longest SGR in Africa ipo Tz ๐น๐ฟ
3. Lugha ya Kiswahili ni ya Tz ๐น๐ฟ na inazungumzwa Africa na dunia kote
4. Mlima mrefu kuliko yote Africa Kilimanjaro the Peak of Afrika ipo Tz ๐น๐ฟ
5. Tanzania ndio nchi yenye watu wakarimu mno kuliko majirani
6. Tanzania kuna n best artist kama Diamond, Zuchu sukuari ya majirani, Harmonize, Alikiba, Mboso nk
7. Msisahau Tz ๐น๐ฟ hatulock down wakati wa covid na life ilisongo
8. Watoto wazuri bwana wako bongo tz ๐น๐ฟ. Wadada wazuri balaa majirani kazi kumezea mate tu
8. Best beach ipo Tz ๐น๐ฟ nenda. Dar es Salaam coco beach na huko Zanzibar ni kuzuri ajabu
9. Tz ๐น๐ฟ tuna mbuga nzuri mno kama Serengeti, Arusha, Manyara, Ruaha nk
10. Mengine mengiiii mnayajua majirani
Leteni ya kwenu majirani tuone mkishinda hii battle
Tz 3 __majirani 00