Wivu wa nini Sasa??? Kumbe kutongozwa nayo ni sifa eeeh!!! Binafsi siwezi kuumia maana nlonae atosha kabisa!!! Halafu sio kila anaekutongoza anamaanisha wengine ni sanifu tuu!!! Mwanaume anaejitambua hawezi kukutongoza hadharani,na kama mmetongozana wawili tu kuja kutangaza nao ni ujinga mwingine!!! Nafikiri naishi na watu wastaarabu sana