BAVICHA kuna ombwe kubwa la uongozi

BAVICHA kuna ombwe kubwa la uongozi

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Nimemuangalia pambalu anavyozungumza ,nimegundua CHADEMA hawapo tayari kushika dola.
Ni kama comedian ana cheka cheka hata pasipo hitaji kucheka kifupi hayupo serious ,kama ndio tanuri la viongozi wa baadae wa Chadema na huyo ndio mnamtegemea naiona chadema ikidumaa .

Haitopata vijana tena kama mnyika,shonza,mdee na wengineo huyu yupo kimasikhara sana!

Yaani sio wale pipooooooz pawaaaa sum sum kazi ngumu hatupigi tunaua kwanini kwa sera!
 
Kwao wewe hujuwi kuwa Pambalu ni debe tupu? Hajuwagi kujenga hoja,wala kushawishi ,wala kuvutia kwa hoja kumsikiliza ,wala kuteka hisia ,wala kuelewa mambo kwa upana wake wala kuwa na mtiririko unao eleweka. Yeye ni mtu wa mihemuko,kutoa sana macho,kupandisha sauti kama mlevi, kuropoka na kuserereka bila breki ya mdomo,hana muunganiko mzuri wa akili na mdomo wake,hajuwi aanze nini na amalize na nini,hajuwi kuyazungumzia mambo katika namna ambayo itateka hisia za watu.

Ndio sababu Ba Vichaa ipo kama haipo,ndio sababu Na vichaa haina ushawishi kwa vijana na makundi mengine,ndio sababu sauti ya Ba vichaa haisikiki katika masikio ya vijana.hii ni kwa kuwa haina hoja zenye kugusa maisha na maslahi ya vijana ya kila siku,kiongozi na viongozi wa Ba vichaa wamekaa kihuni huni na wenye mambo ya kihuni huni na wasio na staha wala adabu wala heshima ya midomo na vinywa vyao. Hii ndio sababu wanapuuzwa ,kudharauliwa na kutosikilizwa kwa hoja zao au matamko yao au maazimio yao.

Ni mkusanyiko wa vijana waliokosa malezi mazuri ya wazazi wao ,ndio maana midomo na vinywa vya vimejaa matusi na lugha chafu sana .huwezi ukapoteza muda wako kuwasikiliza na kushawishika na kile wanachokizungumza kwa sababu muda mwingi wanakuwa ni kama wamevuta mibangi au kubugia pombe kali wakati hawajala hata chakula.

Ngoja niishie tu hapa kwa sasa.

UVCCM ndio tumaini la watanzania hasa vijana katika kuwaunganisha na kuwasemea maslahi yao yanayogusa maisha yao ya kila siku.
 
Nimemuangalia pambalu anavyozungumza ,nimegundua CHADEMA hawapo tayari kushika dola.
Ni kama comedian ana cheka cheka hata pasipo hitaji kucheka kifupi hayupo serious ,kama ndio tanuri la viongozi wa baadae wa Chadema na huyo ndio mnamtegemea naiona chadema ikidumaa .

Haitopata vijana tena kama mnyika,shonza,mdee na wengineo huyu yupo kimasikhara sana!

Yaani sio wale pipooooooz pawaaaa sum sum kazi ngumu hatupigi tunaua kwanini kwa sera!
Ndugu kipara,kwanini kila wakati unatuombea mabaya tu,na kamwe hatatotupata zaidi mabaya natapige kambi hapo kwenu.
 
Kwao wewe hujuwi kuwa Pambalu ni debe tupu? Hajuwagi kujenga hoja,wala kushawishi ,wala kuvutia kwa hoja kumsikiliza ,wala kuteka hisia ,wala kuelewa mambo kwa upana wake wala kuwa na mtiririko unao eleweka. Yeye ni mtu wa mihemuko,kutoa sana macho,kupandisha sauti kama mlevi, kuropoka na kuserereka bila breki ya mdomo,hana muunganiko mzuri wa akili na mdomo wake,hajuwi aanze nini na amalize na nini,hajuwi kuyazungumzia mambo katika namna ambayo itateka hisia za watu.

Ndio sababu Ba Vichaa ipo kama haipo,ndio sababu Na vichaa haina ushawishi kwa vijana na makundi mengine,ndio sababu sauti ya Ba vichaa haisikiki katika masikio ya vijana.hii ni kwa kuwa haina hoja zenye kugusa maisha na maslahi ya vijana ya kila siku,kiongozi na viongozi wa Ba vichaa wamekaa kihuni huni na wenye mambo ya kihuni huni na wasio na staha wala adabu wala heshima ya midomo na vinywa vyao. Hii ndio sababu wanapuuzwa ,kudharauliwa na kutosikilizwa kwa hoja zao au matamko yao au maazimio yao.

Ni mkusanyiko wa vijana waliokosa malezi mazuri ya wazazi wao ,ndio maana midomo na vinywa vya vimejaa matusi na lugha chafu sana .huwezi ukapoteza muda wako kuwasikiliza na kushawishika na kile wanachokizungumza kwa sababu muda mwingi wanakuwa ni kama wamevuta mibangi au kubugia pombe kali wakati hawajala hata chakula.

Ngoja niishie tu hapa kwa sasa.

UVCCM ndio tumaini la watanzania hasa vijana katika kuwaunganisha na kuwasemea maslahi yao yanayogusa maisha yao ya kila siku.
Basi mkuu sirudii tena kuwasikiliza!
 
Mtu akiwa ana cheka cheka unafikiri atasema nini!
Acha upumbavu,kucheka cheka kwa president Nyerere alikua hasemi kitu?elewa kuwa nchi hii wale maadui bado wametamalaki UJINGA,UMASIKINI,MARADHI na cousin wao RUSHWA,ded wa huko Rukwa ameruka na 1B!!
 
Ndugu kipara,kwanini kila wakati unatuombea mabaya tu,na kamwe hatatotupata zaidi mabaya natapige kambi hapo kwenu.
Mimi siwaombei mabaya ila nataka ule upinzani strong moto kweli kweli ulikua ukimsikiliza mnyika akimwaga nondo unasema kweli CCM inaondoka madarakani lakini hawa wa sasa wana vioja iko wapi chadema ya dkt slaa akipewa dk chache mnatafuta pa kuficha sura!
 
Acha upumbavu,kucheka cheka kwa president Nyerere alikua hasemi kitu?elewa kuwa nchi hii wale maadui bado wametamalaki UJINGA,UMASIKINI,MARADHI na cousin wao RUSHWA,ded wa huko Rukwa ameruka na 1B!!
Utaugua na hospital dawa hakuna ndio maana mbowe haumwi sana akihisi namna gani ikulu bata kuongea na diaspora mamtoni!
 
Nimemuangalia pambalu anavyozungumza ,nimegundua CHADEMA hawapo tayari kushika dola.
Ni kama comedian ana cheka cheka hata pasipo hitaji kucheka kifupi hayupo serious ,kama ndio tanuri la viongozi wa baadae wa Chadema na huyo ndio mnamtegemea naiona chadema ikidumaa .

Haitopata vijana tena kama mnyika,shonza,mdee na wengineo huyu yupo kimasikhara sana!

Yaani sio wale pipooooooz pawaaaa sum sum kazi ngumu hatupigi tunaua kwanini kwa sera!
Mazeri shida nini?
 
Nimemuangalia pambalu anavyozungumza ,nimegundua CHADEMA hawapo tayari kushika dola.
Ni kama comedian ana cheka cheka hata pasipo hitaji kucheka kifupi hayupo serious ,kama ndio tanuri la viongozi wa baadae wa Chadema na huyo ndio mnamtegemea naiona chadema ikidumaa .

Haitopata vijana tena kama mnyika,shonza,mdee na wengineo huyu yupo kimasikhara sana!

Yaani sio wale pipooooooz pawaaaa sum sum kazi ngumu hatupigi tunaua kwanini kwa sera!
Akija Sisiemu huyu baraza la mawaziri lazima liwe adjusted ku muaccomodate kijana awe hata Naibu mifano hai mnayo
 
Back
Top Bottom