BAVICHA kuna ombwe kubwa la uongozi

Mhuni ni wewe mkuu, kuitenganisha nomino Bavicha na kutengeneza madudu uonavyo wewe inafaa, 'Ba vichaa' kwa kibondei maana yake 'ya vichaa'.
Kwanini umeamua kupindisha maana halisi ya jina la chama pendwa na kuamua kukitusi hadharani?
 
Akija Sisiemu huyu baraza la mawaziri lazima liwe adjusted ku muaccomodate kijana awe hata Naibu mifano hai mnayo
Huyo anawafaa chadema kuandaa zile joggjng za kila mwezi zisizo na tija wala agenda!
 
NImepotosha nini?
Hizo Propaganda ulizoandika hapo BAVICHA hakuna obwe la uongozi Kijana J Pambalu huwezi kifananisha na Jokate au hata Makonda.

Kwenye ombwe la Uongozi ni huko CCM ndio maana panga pangua haziishi.
 
Ukitaka kujua Pambalu hana pointi anapoongea, hata Erythrocyte hajapost chochote alichosema. Anamsubiri Ayatollah Mboweeeee!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…