Sidhani kama wale mashehe wamewekwa rumande kwa miaka 9 “kwa sababu za kisiasa”.
Kuna kitu kipo nyuma ya pazia sisi common wananchi hatukijui na labda hatutakijua kamwe. Zile zama za mapadre kuuawa na makanisa kuchomwa zilishamiri sana enzi zile wakati wa vuguvugu la watu hawa. Labda hii ndio “sababu ya kisiasa”
Huu mfupa wa hawa mashehe uliwashinda marais wote wa bara na visiwani. Ngoja tuone mama Samia atafanyaje.
Kiswahili Ni 'changabaridi' mkuu?"Watukufu" Waislamu ndiyo mdudu gani?
Ni vema na ni utu kuwaonea huruma wanaoteseka. Hongera BAvicha.Wakuu , kwanza napenda kuwapongeza Watukufu Waislam kwa kumaliza kwa mafanikio makubwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan , Mwenyezi Mungu awajaalie kila lililo jema .
Hata hivyo ifahamike kwamba wakati sisi wengine tukisherehekea Idd majumbani mwetu pamoja na familia zetu , kule Ukonga wako Mashehe wamewekwa rumande kwa miaka 9 kwa sababu za kisiasa , sasa kama mnavyojua Vijana wa Bavicha wanafanya ziara ya kutembelea wafungwa wa kisiasa nchi nzima kwa lengo la kuwajulia hali na kuwapa moyo , na Idd hii ni zamu ya kuwaona Mashehe wa Uamsho Gereza la Ukonga .
View attachment 1783662
Wapenda Haki Wote Mnakaribishwa
Huelewi chochote. Kaa kimya na uzwazwa wako na acha great thinkers wadadavue mambo.Ficha ujinga wako mkuu
Don't haul insults to people. You are exposing your zero resource behavior.Huu ni ujinga na upimbi,pumbafu kabsa
Bavicha mnawaharibia hawa watuhumiwa wa uhaini!Wakuu , kwanza napenda kuwapongeza Watukufu Waislam kwa kumaliza kwa mafanikio makubwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan , Mwenyezi Mungu awajaalie kila lililo jema .
Hata hivyo ifahamike kwamba wakati sisi wengine tukisherehekea Idd majumbani mwetu pamoja na familia zetu , kule Ukonga wako Mashehe wamewekwa rumande kwa miaka 9 kwa sababu za kisiasa , sasa kama mnavyojua Vijana wa Bavicha wanafanya ziara ya kutembelea wafungwa wa kisiasa nchi nzima kwa lengo la kuwajulia hali na kuwapa moyo , na Idd hii ni zamu ya kuwaona Mashehe wa Uamsho Gereza la Ukonga .
View attachment 1783662
Wapenda Haki Wote Mnakaribishwa
Hapo roho inakuuma hadi unataka kujinyea?Kafie mbali!Upuuzi mtupu kiki za kijinga sana
Chadema ni chama cha malof
kama mna ushahidi na hilo kwanini msiupeleke mahakamani mkawahukumu kunyongwa au kifungo cha maisha ?Hao kuna kitu chini ya kapeti walikuwa wanakiandaa. Ndio waliochochea watalii kumwagiwa tindikali, makanisa kuchomwa, Mapadree kupigwa risasi na kuuawa, kwa ujumla matukio yenye kuashiria ugaidi yaliingia Zanzibar kwa kasi. Hao si wafungwa wa siasa na wakae Sero mpaka wawe wazee sana.
Naona mnaendelea kumchokonoa MamaWakuu , kwanza napenda kuwapongeza Watukufu Waislam kwa kumaliza kwa mafanikio makubwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan , Mwenyezi Mungu awajaalie kila lililo jema .
Hata hivyo ifahamike kwamba wakati sisi wengine tukisherehekea Idd majumbani mwetu pamoja na familia zetu , kule Ukonga wako Mashehe wamewekwa rumande kwa miaka 9 kwa sababu za kisiasa , sasa kama mnavyojua Vijana wa Bavicha wanafanya ziara ya kutembelea wafungwa wa kisiasa nchi nzima kwa lengo la kuwajulia hali na kuwapa moyo , na Idd hii ni zamu ya kuwaona Mashehe wa Uamsho Gereza la Ukonga .
View attachment 1783662
Wapenda Haki Wote Mnakaribishwa
Mkuu Kinuju, wewe ni mmoja wa wale 60%¿Upuuzi mtupu kiki za kijinga sana
Chadema ni chama cha malofa
Huyo ndo Kinuju
Nani atawaruhusu?Wakuu , kwanza napenda kuwapongeza Watukufu Waislam kwa kumaliza kwa mafanikio makubwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan , Mwenyezi Mungu awajaalie kila lililo jema .
Hata hivyo ifahamike kwamba wakati sisi wengine tukisherehekea Idd majumbani mwetu pamoja na familia zetu , kule Ukonga wako Mashehe wamewekwa rumande kwa miaka 9 kwa sababu za kisiasa , sasa kama mnavyojua Vijana wa Bavicha wanafanya ziara ya kutembelea wafungwa wa kisiasa nchi nzima kwa lengo la kuwajulia hali na kuwapa moyo , na Idd hii ni zamu ya kuwaona Mashehe wa Uamsho Gereza la Ukonga .
View attachment 1783662
Wapenda Haki Wote Mnakaribishwa
sasa hivi ndio kiki kweli yaani !Upuuzi mtupu kiki za kijinga sana
Chadema ni chama cha malofa
UPDATES
=========
Viongozi wa Bavicha wamezuiwa kuingia gereza la Ukonga , ambapo taarifa ya Askari wa zamu inaeleza kwamba KUNA MAAGIZO KUTOKA JUU KUIZUIA BAVICHA KUWAONA UAMSHO .
Hata kwa mambosasa tu , unajua polisi ni kazi ambayo mtu akikuzidi hata V moja tu unatakiwa kumlamba viatuMaagizo kutoka juu kwa mama au?
Ushaihidi ni huo kwamba wako gerezani na Zanzibar iko swariii. Unataka nini zaidi? Uzuri ni kwamba unajua kila kitu na nafsi yako inakusuta.kama mna ushahidi na hilo kwanini msiupeleke mahakamani mkawahukumu kunyongwa au kifungo cha maisha ?