BAVICHA leo saa 5 kutangaza msimamo wao kuhusu Wabunge 19 wa Viti Maalum

Status
Not open for further replies.
Mbowe na Salum mwalimu wamevuta bilion 3 kimya kimya kwa kuwazunguka Lisu na mnyika kuna mtiti unafukuta chini chini na endapo kesho mbowe haitawafukuza akina mdee atambue kuwa chadema inafariki ghafra kama CUF ya Lipumba
We chawa tu, kibaraka, mke mdogo wa mkoloni mzawa.
 
Mbowe na Salum mwalimu wamevuta bilion 3 kimya kimya kwa kuwazunguka Lisu na mnyika kuna mtiti unafukuta chini chini na endapo kesho mbowe haitawafukuza akina mdee atambue kuwa chadema inafariki ghafra kama CUF ya Lipumba
Kila siku mnaota Chadema kufa, ilipowafukuza madiwani watano wa Arusha mkasema ndio mwisho wa Chadema, alipoondoka Zitto mkasema Chadema inakufa alipoondoka Slaa mkasema Chadema inakufa.
 
Nawapongeza kujiteua maana wengine wamegoma kuwateua kwa hasira za kukataliwa na wananchi.Kama mambo hayaendi nenda we we.Tanzania oyeerr
 
Kwa CHADEMA ipo maana hakuna ulaji. Kwa CCM kumvuruga Jiwe ni kuvuruga mlo wa watoto na uhai, hivyo Jiwe ni final, hakuna kamati kuu,Hakuna anyeweza kumbishia Jiwe. Lukuvi hakuna Urais, amejibu?
Pole, unajitahidi kuokoteza vitu. Endelea kuokoteza
 
Wanakaa kuongea nn wakati walishakaa na akidi ilitimia na Mpaka kura zilipigwa?

Mdee ataongea na waandishi wa Habari hapo Sasa ndio mtajua madudu ya viongozi wa chadema na hakuna mtu ataamini
Chadema imeingiliwa na mdudu,Hakuna haja ya kuwasulubu akina Mdee.Lakini wapo watu wengi hawajui kilicho ndani.Wakianza kuumbuwana ndio mwisho wa Chadema.
 
NINYI PIA MSIJE MKAPEWA FEDHA AU MADARAKA ,WANASIASA MNAYUMBISHWA NA MATUMBO YENU
 
M
Chadema imeingiliwa na mdudu,Hakuna haja ya kuwasulubu akina Mdee.Lakini wapo watu wengi hawajui kilicho ndani.Wakianza kuumbuwana ndio mwisho wa Chadema.
Mdudu mdee lazima adulubiwe,fedha na madaraka ndiyo chanzo kikuu
 
"katika Ofisi za Makao Makuu ya Chama Kinondoni”

CHADEMA kwa kuwa press zimekuwa nyingi hapo mnapoita makao makuu hamuoni sasa kuna haja ya Kujenga Jengo Jipya lenye sehemu nzuri ya kufanyia Press Conference.
Au basi muombe pale Ukumbi wa Habari Maelezo
 
Kila siku mnaota Chadema kufa, ilipowafukuza madiwani watano wa Arusha mkasema ndio mwisho wa Chadema, alipoondoka Zitto mkasema Chadema inakufa alipoondoka Slaa mkasema Chadema inakufa.
Kwahiyo hamtakufa? Na madudu yote haya ya mwenyekiti wenu?
 
BAWACHA chini ya mwenyekiti Mdee naye huenda anapaswa azungumze na wanahabari.
BAVICHA Vs. BAWACHA leo!
Kitu gani mwenyekiti wa bawacha hajaongea? Pale bungeni aliongea kwamba wanamshukuru Sana mwenyekiti Mbowe kwa kuwawezesha wao kwenda bungeni na kuwa wabunge wa chadema viti maalum. Sasa nyie wengine mnataka Nini?
Au nyumbu pingapinga Fc akili zenu anazo Mbowe?
 
Huu ni ubinafsi mkubwa kabisa, hata kama ingekuwa ni BAWACHA kupelea list kwa nguvu basi ingeteua mabinti wadogo ambao hawana exposure kisiasa kuwateua kuwa wabunge wa viti hivi - sasa tunaona kina mama wazee tu ambao wengine wamekuwa wabunge awamu mbili hadi tatu majimboni sasa hawa nao wanahitaji kuwa in-powered ?

Kwa hili Halima umechemka mno, mbaya zaidi yote uliyoyafanya machoni kwa watu wataona ulikuwa unasaka tonge tu na sasa umelipata... watu hawaamini ni nini kimekupata - umepigwa kipapai nini dadangu?
 
Chadema imeingiliwa na mdudu,Hakuna haja ya kuwasulubu akina Mdee.Lakini wapo watu wengi hawajui kilicho ndani.Wakianza kuumbuwana ndio mwisho wa Chadema.
Na halima anaongea na waandishi wa Habari soon

Atasema kila kitu Mpaka Hao madem wa viongozi ambao walikuwa wanataka wawe kwenye viti maalum ambao yy ajawaweka
 
Taarifa za maandalizi ya kuapishwa zilikuwepo.
Kwahiyo, chama kingekuwa serious kingeitisha mkutano kabla ya kuapishwa kikawaonya, na baada ya kuapishwa kingeitisha mkutano immediately.
Mbowe na Salum mwalimu ndiyo wamewauza kitumwa hao wanawake kwa Ndungai kwa njia haramu za kishetani na sasa kesho hawajui waje na majibu gani kwani hawakutarajia siri zao kujulikana
 
Na halima anaongea na waandishi wa Habari soon

Atasema kila kitu Mpaka Hao madem wa viongozi ambao walikuwa wanataka wawe kwenye viti maalum ambao yy ajawaweka
Hata wao hawakupaswa kuwa kwenye viti maalum kwani tayari wamegombea kwenye majimbo, Halima mdee anaizika chadema kwa njaa zake, ni mara mia wamfukuze kabsa chadema itaheshimika kuliko kubaki nae kisha chadema ifariki ghafra kama CUF ya Lipumba
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…