BAVICHA leo saa 5 kutangaza msimamo wao kuhusu Wabunge 19 wa Viti Maalum

BAVICHA leo saa 5 kutangaza msimamo wao kuhusu Wabunge 19 wa Viti Maalum

Status
Not open for further replies.
Bavicha ikamjadili Bawacha chama hakina mpangilio!
acha uzwazwa wewe zuzu.. MNYIKA ameshasema kuwa wanachama watoe maoni yao kabla ya tar 27 sasa wewe na ugonwa wenu huo wa kukurupuka kama babaenu MEKO hii haikuhusu katulize makalio yako lumumba umsikilize CHAKUBANGA

BUBERWA D.
 
Tunasubiri msimamo wa Mbowe siyo hao watoto vya BAVICHA!
Mbowe na Salum mwalimu wamevuta bilion 3 kimya kimya kwa kuwazunguka Lisu na mnyika kuna mtiti unafukuta chini chini na endapo kesho mbowe haitawafukuza akina mdee atambue kuwa chadema inafariki ghafra kama CUF ya Lipumba
 
acha uzwazwa wewe zuzu.. MNYIKA ameshasema kuwa wanachama watoe maoni yao kabla ya tar 27 sasa wewe na ugonwa wenu huo wa kukurupuka kama babaenu MEKO hii haikuhusu katulize makalio yako lumumba umsikilize CHAKUBANGA

BUBERWA D.
Mnyika na Lisu hawajui mchezo wa mbowe na mwalimu na huenda kesho Mnyika akaja na maamuzi magumu baada ya Halima mdee kumchafua kumdhalilisha kwenye mitandao
 
Mbowe na Salum mwalimu wamevuta bilion 3 kimya kimya kwa kuwazunguka Lisu na mnyika kuna mtiti unafukuta chini chini na endapo kesho mbowe haitawafukuza akina mdee atambue kuwa chadema inafariki ghafra kama CUF ya Lipumba
Hata Lissu mbona nasikia naye kavuta 1 billioni
 
Mbowe na Salum mwalimu wamevuta bilion 3 kimya kimya kwa kuwazunguka Lisu na mnyika kuna mtiti unafukuta chini chini na endapo kesho mbowe haitawafukuza akina mdee atambue kuwa chadema inafariki ghafra kama CUF ya Lipumba
Mbowe hawezi kumfukuza Halima James Mdee ila Halima James Mdee anaweza kumfukuza Mbowe Chadema.

Baada ya kurip mzee Ndesamburo mikoba ya Chadema amekabidhiwa Halima James Mdee na anaripoti direct kwa mzee Mtei.
 
Itasaidia kuwafukuza haraka wale wabunge maalumu wa Ndugai kwa haraka.
Ununuzi haramu wa watumwa wa kike tokea chadema ni dhahiri sasa umekuwa mwiba mchungu kwa chadema
 
Kama kweli watatoa msimamo wao kabla ya kikao kilichoitishwa na Km watazibitisha CHADEMA ni mkusanyiko wa kikundi cha wanakikundi wasio na taratibu za kuendesha kikundi chako
Wapo hivyo siku zote, harakati zilificha udhaifu wao, saivi wapo uchi, chadema sio taasisi ni saccos
 
Chadema wako sahihi mara zote, seke seke hili la wabunge wa viti maalum, litaibua tafsiri zisizo za haki ili mradi kuhalalishwa uharamia wa uteuzi wa wabunge viti maalum.Halima mdee na wenzako wana kesi ya kujibu mbele ya Kamati kuu ya Chama.
Akina mdee wamebaka uteuzi wa viti maalum kwa njia haramu za kishetani
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom