nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,932
Mkuu hata yale yanatokana na kikao hakutoka tu km nakusema yale, ccm jifunzeni kuheshimu sheria na kanuni.Mtafaruku uliopo na stake ya uhai wa CDM ni kuwa lazima top executive alitolee kauli yake, not through KM or any other delegate!