BAVICHA leo saa 5 kutangaza msimamo wao kuhusu Wabunge 19 wa Viti Maalum

BAVICHA leo saa 5 kutangaza msimamo wao kuhusu Wabunge 19 wa Viti Maalum

Status
Not open for further replies.
Bavicha wamefanya vizuri kukaa kikao mapema.

Kamati Kuu Chadema inaonyesha kulipuuza swala hili ndio maana haijakaa kikao cha dharura. Ni ishara kuwa Kamati Kuu iko nyuma ya mchezo unaoendelea wa kuwalaghai mashabiki waliojazwa hasira.

Mpaka mwisho, sakata hili litaishia kwenye kauli tupu za mdomoni zisizoathiri chochote.
Kamati kuu inakaa kesho.
 
Wakidharau inakula kwao.
Ni kwa usalama wao tu
Wale ni watoto wa kike unawaitaje wakati umehamasisha vijana wengi nao wawepo?

Mnataka kuwabaka au kuwavunjia vioo magari yao?
 
Kamati kuu inakaa kesho.
Wanakaa kuongea nn wakati walishakaa na akidi ilitimia na Mpaka kura zilipigwa?

Mdee ataongea na waandishi wa Habari hapo Sasa ndio mtajua madudu ya viongozi wa chadema na hakuna mtu ataamini
 
Mdee anazo Mpaka documents za kikao ambacho Walikaa na kukubali majina yaende Tena walibishana Mpaka ikafikia atua ya kupiga kura

Na waliotaka viti maalum waende walishinda

Hoja hapa ni moja tu, madem wa viongozi hawapo kwenye Ile list ndio shida
Walipopiga kura ikawaje acheni uongo.
 
Nadhani wanataka kutoa maoni yao,,hukusikia wito wa Mnyika kwamba wanachama watoe maoni yao kabla ya tarehe 27?
Nadhani ingependeza kama wangepeleka maoni/mapendekezo yao kwenye kamati (nilifikiri katibu alimaanisha hivyo ).
 
Ni kwa usalama wao tu
Wale ni watoto wa kike unawaitaje wakati umehamasisha vijana wengi nao wawepo?

Mnataka kuwabaka au kuwavunjia vioo magari yao?
Nilidhani una logic nikawa nakujibu.
 
Ulitaka wawahoji kabla ya kuapishwa au siku hiyo hiyo baada ya kuapishwa.

Ulitaka wawahoji kabla ya kuapishwa au siku hiyo hiyo baada ya kuapishwa.
Taarifa za maandalizi ya kuapishwa zilikuwepo.
Kwahiyo, chama kingekuwa serious kingeitisha mkutano kabla ya kuapishwa kikawaonya, na baada ya kuapishwa kingeitisha mkutano immediately.
 
Magufuli anawagombanisha chadema.[emoji3064][emoji3064][emoji3064]
 
Mkuu hata yale yanatokana na kikao hakutoka tu km nakusema yale, ccm jifunzeni kuheshimu sheria na kanuni.
Hapo mi sijakuelewa. Kama unasema majibu ya katibu yalitokana na kikao (cha kamati?), sasa kikao kingine cha nini? Siwangefikia maamuzi yote kwenye hicho kikao ndio waite waandishi wa habari?
 
Taarifa za maandalizi ya kuapishwa zilikuwepo.
Kwahiyo, chama kingekuwa serious kingeitisha mkutano kabla ya kuapishwa kikawaonya, na baada ya kuapishwa kingeitisha mkutano immediately.
Hapana, Chadema ni taasisi haiwezi kutoa maamuzi based on taarifa za mitaani walitakiwa wapate uhakika kwanza.
 
Hapo mi sijakuelewa. Kama unasema majibu ya katibu yalitokana na kikao (cha kamati?), sasa kikao kingine cha nini? Siwangefikia maamuzi yote kwenye hicho kikao ndio waite waandishi wa habari?
Chama kina vikao vingi sio cha kamati kuu pekee.
 
CDM hawaishi vituko, ila hii yote inaonyesha kuna ombwe kubwa la uongozi kutoka juu ndio maana kila kiongozi wa ngazi yoyote CDM anajaribu kuropoka.
Hebu wataje ambao wamekwisharopoka na walichoropoka, ili ujiondoe kwenye orodha ya WAROPOKAJI!
 
Hapana, Chadema ni taasisi haiwezi kutoa maamuzi based on taarifa za mitaani walitakiwa wapate uhakika kwanza.
Well, sasa ndio hicho kimetokeo. Taarifa walizodhani ni za mitaani hazikuwa za mitaani. Walitakiwa kuwa makini na kuwahoji wahusika badala ya kupuuza.

Hiki chama hakina uwezo wa kuongoza nchi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom